Aliyewahi kuwa kigogo wa  CCM Dodoma arejea CUF 

Dodoma. Kada na aliyewahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Othman Dunga amekihama chama hicho na kwenda Chama cha CUF, akieleza nia yake ya kugombea ubunge wa jimbo la Kondoa Mjini katika uchaguzi wa mkuu wa mwaka 2025. Dunga ni mwenye historia ndefu kisiasa aliyeanzia upinzani kwenye chama cha CUF,…

Read More

NOELA: Chama wa Kikapu MVP mara 10

UKIMUONA nje ya kazi unaweza kumdharau, lakini ukija kazini kwake utapata stori ya namna anavyosifika kwa uchezaji uwanjani. Noela Uwandameno (22), ambaye ni mchezaji wa Vijana Queens na mwanafunzi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere anasimulia namna alivyoingia kwenye mpira wa kikapu na anavyojigawa pia kwenye masomo. “Ni miaka saba sasa tangu nianze kucheza…

Read More

ONDOENI URASIMU, WEZESHENI WAFANYABIASHARA – DK.MWINYI – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa Taasisi zinazosimamia biashara na uwekezaji, Bara na Zanzibar kuhakikisha wanaondoa urasimu na kuwawezesha wafanyabiashara zaidi.     Rais Dkt.Mwinyi aliyasema hayo tarehe 13 Julai 2024, alipofunga Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya sabasaba, Temeke Mkoa…

Read More

Wanawake na Wasichana Wanatafuta Afya zao za Kimapenzi na Uzazi kwenye Mstari wa mbele wa Vita Ambavyo Havikuanzisha — Masuala ya Ulimwenguni

Credit: UNFPA/Eldson Chagara Nsanje, Malawi – Eliza, 30, na mtoto wake mchanga wakiwa nyumbani kwao katika kambi ya Dinde baada ya nyumba yao kuporomoka na walifukuzwa wakati wa Storm Freddy mnamo Machi 2023. Mtoto mchanga wa Eliza anapokea uchunguzi kutoka kwa Fainess Yobe, Afisa wa Kiufundi wa UNFPA wa Uimarishaji wa Mfumo wa Afya. ….

Read More

Sheria mpya ya madini itakavyodhibiti utoroshaji madini, vito

Dar es Salaam. Baada ya mabadiliko ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017, Serikali ya Tanzania imedhamiria kufanya mabadiliko mengine ili kuimarisha udhibiti wa matendo maovu katika sekta hiyo, ukiwemo utoroshaji madini. Dhamira ya mabadiliko hayo ni kuhakikisha vitendo vya utoroshaji madini na vito vilivyokithiri katika migodi mbalimbali nchini vinadhibitiwa. Akizungumzia hayo hivi karibuni, Naibu…

Read More

Serikali Kuboresha Minada Nchini – MICHUZI BLOG

Na.Mwandishi Wetu -Dar es Salaam. Wizara ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi imejipanga kuboresha miundombinu ya Minada iliyopo nchini ili iweze kukidhi mahitaji ya watumiaji hasa katika sehemu za uzio, vyoo, maji, taa pamoja na mifumo ya malipo. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof Daniel Mushi Julai 12,…

Read More