Beki mpya JKT aota makubwa

BEKI mpya wa JKT Tanzania, Abdulrahim Seif Bausi aliyesajiliwa kutoka Uhamiaji ya Zanzibar, amesema anatambua Ligi Kuu Bara ni ngumu na inahitaji utulivu na kujituma, ili aweze kung’ara msimu ujao. Beki huyo ni mtoto wa kocha wa timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’, Seif Bausi, alisema alikuwa anaifuatilia ligi ya Bara, hivyo haoni kama…

Read More

DC Magoti ajipanga kuwanyanyua wajasiriamali

Na Elizabeth Zaya, Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, amesema wamejipanga kuwasaidia wajasiriamali katika wilaya hiyo ili wafanye biashara za viwango vya juu. Magoti alitoa kauli hiyo jana alipotembelea maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam(DITF) yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa Temeke. Mkuu…

Read More

Mapigano makali yaendelea kuripotiwa Gaza – DW – 12.07.2024

Mapigano makali na mashambulizi ya mabomu yameripotiwa katika mji wa Gaza na maeneo mengine ya ardhi ya Wapalestina leo Ijumaa huku wapatanishi wakiendelea na juhudi za kusitisha vita vinavyoendelea. Shirika la ulinzi wa raia katika eneo linaloendeshwa na Hamas huko Gaza limesema kwamba takriban miili 40 imepatikana katika juhudi za awali kutafuta raia katika wilaya…

Read More

Mbowe aeleza alivyoasisi shule za kata Kilimanjaro

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema yeye ndiye aliyeanzisha ujenzi wa shule za sekondari za kata nchini, zikianzia wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, alikokuwa mbunge kwa mara ya kwanza kati ya mwaka 2000 hadi 2005. Ujenzi wa shule hizo ulishika kasi katika awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete baada ya ongezeko la…

Read More

DC KIBAHA ATOA MAELEKEZO KWA WADAU WA MAJI KUHUSU UTUNZAJI WA MIUNDOMBINU YA MAJI

Mkuu wa wilaya ya Kibaha Mhe. Nickson Simon ametoa maelekezo kwa wadau wa maji kuhakikisha wanasimamia utunzaji wa miundombinu ya maji ambayo imejengwa na Serikali kuondoa Changamoto ya upatikanaji wa maji. Saimon amesema kwa asilimia kubwa Serikali imeshakamilisha ujenzi wa miundombinu ya maji hivyo jukumu lililobaki ni wananchi kutunza na kuilinda miundombinu hiyo isiharibike. Mkuu…

Read More

Yanga yampa miwili beki Mkenya

YANGA inaendelea kushusha vyuma na safari hii imetua kwa beki wa kati raia wa Kenya, Anitha Adongo kwa ajili ya msimu ujao. Hadi sasa Yanga Princess inayoshiriki Ligi ya Wanawake (WPL) inahusishwa kumalizana na wachezaji wanne wa kigeni akiwemo Danai Bhobho kutoka kwa watani zao, Simba Queens. Akizungumza na Mwanaspoti, Rafiki wa karibu wa mchezaji…

Read More