Wasio na makazi wanavyolala Dar

Dar es Salaam. “Sikuwahi kufikiria kukosa makazi na kulala nje, lakini imenibidi kutokana na hali iliyonikuta, hadi leo nawalaani mgambo, ndiyo chanzo cha kuharibika maisha yangu na kuanza kulala hapa nilipo.” Hiyo ni kauli ya Rashida Omari (45), mzaliwa wa Kigoma ambaye kwa sasa analala kibarazani, kwenye ghorofa lililopo kwenye makutano ya Barabara ya Bibi…

Read More

KAMPUNI YA KILOMBERO SUGAR NA KAMPUNI TANZU ZA ILLOVO SUGAR AFRICA, ZAUNGANA KUPITIA KAMPENI YAO YA ‘KILIMANJARO EXPEDITIONS’ KUKABIDHI TAULO ZA KIKE 2400 KATIKA SHULE YA SEKONDARI MIERESINI.

Kampuni ya Kilombero Sugar na Kampuni tanzu za Illovo Sugar Africa, zimeungana kupitia Kampeni yao ya Kilimanjaro Expeditions kukabidhi taulo za kike 2400 katika shule ya Sekondari Mieresini kabla ya kuelekea kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro. Kampeni hiyo itahusisha wapanda mlima 17 kutoka nchi 8 tofauti zilizopo chini ya ABF Sugar Group ambapo wafanyakazi hao…

Read More

Vital’O yapata pigo, Yanga ishindwe yenyewe

HII inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya wapinzani wao kwenye hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Vital’O kuzuiwa kutumia uwanja wao wa nyumbani wa Intwali uliopo Bujumbura, Burundi. Ukaguzi uliofanywa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) umebaini kuwa uwanja huo wa Intwali hauna sifa za kutumika kwa mashindano ya…

Read More

WANANCHI MKALAMA WAHIMIZWA KUJITOKEZA KWA WINGI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Ndugu Godfrey Mzava amewataka wananchi wilayani Mkalama kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi Novemba 2024.   Wito huo ameutoa Julai 10,2024 mara baada ya kumaliza kukagua, kuzindua na kuweka jiwe la Msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na serikali wilayani…

Read More

Meridianbet yatinga Kawe, yamwaga msaada Zahanati

Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet leo imefunga safari kuelekea Kawe jijini Dar-es-salaam kwenye Zahanati inayopatikana sehemu hiyo na kufanikiwa kutoa msaada katika Zahanati hiyo. Meridianbet imekua ikijitahidi kuhakikisha wanaigusa jamii inayowazunguka mara kwa mara haswa wale wenye uhitaji, Hivo leo sehemu yenye uhitaji leo imekua ni Zahanati hiyo inayopatikana katika eneo la…

Read More

TTCL yasambaza Mkongo wa Taifa mikoa yote nchini

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema hadi sasa limesambaza Mkongo wa Taifa katika mikoa yote nchini, ambapo zaidi ya wilaya 98 zimeunganishwa na mkongo huo wa mawasiliano. Juhudi hizi zinalenga kuhakikisha huduma za elimu, afya, na maendeleo ya kiuchumi zinapatikana kidigitali katika maeneo yote nchini. Akizungumza leo, Julai 12, 2024,…

Read More