Kina Diarra watishia kujiondoa Mali kisa sakata la Traore

Dar es Salaam. Kufuatia kusimamishwa kwa nahodha wa timu ya Taifa Mali, Hamari Traoré wachezaji wenzake wametishia kujiondoa kwa pamoja kwenye kikosi hicho kwa kile walichokitaja uonevu kwa nahodha wao. Nahodha huyo amefungiwa kwa kosa la yeye na baadhi ya wachezaji wenzake kumfokea na kumsonga mithili ya kumpiga mwamuzi Mohammed Adel raia wa Misri katika…

Read More

TSHABALALA AFARIKI DUNIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Aliyekuwa Mchezaji Nguli wa soka wa Afrika Kusini, Stanley ‘Screamer’ Tshabalala amefariki Dunia leo Julai 12, 2024 akiwa na umri wa miaka 75. Itakumbukwa mnamo Machi mwaka huu, Tshabalala alipata majeraha baada ya kupigwa risasi alipovamiwa nyumbani na majambazi nyumbani kwake. Tshabalala anakumbukwa kama gwiji wa soka na mwanzilishi wa klabu ya Kaizer Chiefs na…

Read More

MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO AHANI MSIBA WA MWANAKIJIJI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiifariji familia na waombolezaji mbalimbali kufuatia kifo cha Bi. Doleta Minya kilichotokea tarehe 09 Julai 2024. Makamu wa Rais ametoa pole hizo wakati alipoitembelea familia ya marehemu akiwa Kijiji Kasumo Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma tarehe 11 Julai 2024.  

Read More