Mzee wa Upako: Unakujaje kanisani bila sadaka?

Dar es Salaam. Mchungaji wa Kanisa la Gospel Revival Center, Anthony Lusekelo, maarufu kwa jina la Mzee wa Upako, amesema suala la waumini kutozwa fedha kwa ajili ya kufanyiwa maombi na viongozi wa makanisa ni makubaliano kwa sababu ni mambo ya imani. Amesema maandiko ya Biblia yameelekeza waumini kwenda kanisani na sadaka, hivyo haipaswi kwenda…

Read More

KINANA AWASHAURI VIONGOZI WA CCM KUZINGATIA MAADILI

Na Said Mwishehe,Mpanda MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Abdulrahman Kinana amewashauri viongozi wa Chama hicho katika ngazi mbalimbali kuzingatia maadili kwa kauli,vitendo na mwonekano. Kinana ameyaeleza hayo leo Julai 11,2024 wakati akifungua Kongamano la Maadili na Malezi lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama hicho ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki…

Read More

Mbowe ataka Watanzania kuvaa sura ya ujasiri

Moshi/Dar. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewataka Watanzania kuvaa sura ya ujasiri kupigania hatima ya maisha yao badala ya kuwategemea viongozi wanaojali masilahi yao binafsi. Mbowe amesema hayo leo Alhamisi, Julai 11, 2024 kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo la Soko la Manyema, mjini Moshi katika mwendelezo wa operesheni…

Read More

Tchakei kulamba dili jipya Singida

UONGOZI wa Singida Black Stars (zamani Ihefu), umeanza mazungumzo ya kumwongezea mkataba mpya kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Marouf Tchakei. Raia huyo wa Togo aliyejiunga na kikosi hicho Januari mwaka huu akitokea Singinda Fountain Gate aliyojiunga nayo kutokea AS Vita ya Congo, amekuwa na kiwango bora na msimu uliopita alifunga mabao tisa ya Ligi Kuu…

Read More

Hatua kwa hatua maandamano waliokatwa majina ugawaji vizimba Kariakoo

Dar es Salaam. Maandamano mengine ya wafanyabiashara yameibuka katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam leo Julai 11, 2024 wakilalamikia majina yao kukatwa katika orodha ya wanaopaswa kurejeshwa sokoni humo. Maandamano hayo yaliohusisha wafanyabiashara zaidi ya 800, yamelenga kuushinikiza uongozi wa Shirika la Masoko Kariakoo kuingiza majina yao ili nao wawe sehemu ya watakaopewa…

Read More