KINANA AWASHAURI VIONGOZI CCM KUZINGATIA MAADILI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Abdulrahman akizungumza katika ufunguzi wa kongamano la malezi na maadili lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi Tanzania, mjini Mpanda, Mkoa wa Katavi. (Picha na Fahad Siraj-CCM) Na Mwandishi Wetu   MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Abdulrahman Kinana amewasisitiza wananchi na viongozi mbalimbali hususan wanaotokana na Chama hicho…

Read More

Mgunda afichua siri usajili Simba

ALIYEKUWA kaimu kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amefichua siri za usajili mpya wa klabu hiyo iliyopo kambini Ismailia, Misri na kuupongeza uongozi wa timu hiyo kwa kufuata ushauri alioutoa wa kutaka kuvunjwa kwa timu hiyo ili isajili wachezaji vijana ambao watajenga timu mpya. Mgunda aliiwezesha Simba kumaliza katika nafasi ya tatu ndani ya Ligi…

Read More

HONGERENI KWA KUWEKA REKODI KWA MKAPA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo Alhamis, 11 Julai 2024, amefungua mafunzo ya kuwajengea uwezo Watendaji na Viongozi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), wilaya zote na mikoa yote, nchi nzima, yanayofanyika katika Chuo cha UVCCM Ihemi, mkoani Iringa. Baada ya kuwasili chuoni hapo, Balozi Nchimbi amepokelewa…

Read More

Mawakili wajadili juu ya kulindwa kwa utawala wa sheria – DW – 11.07.2024

Wanasheria hao kutoka Jumuiya ya mawakili wa Afrika Mashariki leo wamekutana na wanahabari na asasi za kiraia mjini Dar es Salaam, ili kuangalia kwa pamoja namna ambavyo nchi wanachama zinavyoweza kuchochea mabadiliko katika sheria zinazominya uhuru wa habari na upatikanaji wa taarifa hasa katika zama za kidijitali. Katika warsha hiyo, wanasheria hao walichambua sheria mbalimbali za…

Read More