Aliyekuwa kocha Biashara atoa msimamo

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Biashara United ya Mara, Amani Josiah amesema kwa sasa yuko huru baada ya kumaliza mkataba na klabu hiyo huku akikiri kupokea ofa kutoka timu mbalimbali ambazo bado hajazitolea uamuzi akisubiri timu itakayomshawishi kwa ofa nzuri. Josiah aliiongoza Biashara msimu uliopita katika Ligi ya Championship akisaidiana na Edna Lema na Ivo Mapunda,…

Read More

Rais Samia amteua bosi mpya Usalama wa Taifa

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Suleiman Abubakar Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa leo Alhamisi Julai 11, 2024. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Mululi Majula Mahendeka na kusainiwa na Sharifa Nyanga, Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Mombo amechukua nafasi ya Balozi…

Read More

BALOZI NCHIMBI AONYA VIONGOZI KUTOA KAULI ZA KIBAGUZI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewataka viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuepuka kutoa kauli au kufanya vitendo vyenye taswira inayoweza kutafsiriwa kuwa baadhi yao wanashabikia ukandamizaji wa haki za wananchi. Katibu Mkuu Balozi Dkt. Nchimbi amesisitiza kuwa maneno na vitendo vya wana-CCM wakati wote lazima…

Read More

Ufudu ajilipua Mashujaa | Mwanaspoti

BAADA ya kudumu Kagera Sugar kwa miaka minne, Julai 7, mwaka huu kiungo, Ally Nassoro Iddi ‘Ufudu’ alitua Mashujaa FC ya Kigoma akisaini mkataba wa mwaka mmoja, huku akifichua siri ya kujiunga na maafande hao na yuko tayari kupambania namba kikosini hapo. Ufudu ni usajili wa kwanza kutambulishwa na Mashujaa kwenye dirisha hili akifuatiwa na…

Read More

Makonda: Vyombo vya ulinzi, usalama vitokomeze rushwa

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama mkoani hapa kushirikiana katika mapambano dhidi ya rushwa na kulindana ndani yao kwa kuwa madhara yake ni makubwa. Amesema vyombo hivyo vinapaswa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kuwabaini watendaji wenzao kwenye taasisi wanaokiuka maadili na kuwa…

Read More

DUWASA YASHUKURU WANANCHI NZUGUNI WALIOJITOLEA MAENEO YA MRADI

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mhandisi Aron Joseph amesema kukamilika kwa asilimia 98 ya mradi mkubwa wa maji wa Nzuguni uliyogharimu kiasi cha shilingi Bilioni 4.3 na kuanza kutoa huduma kwa wananchi tangu Disemba 23, 2023 ni mafanikio yaliyochangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya wananchi waliyojitolea maeneo…

Read More

Pamba Jiji yaenda chimbo la wiki tatu

KIKOSI cha Pamba Jiji kitaondoka keshokutwa (Jumapili) jijini hapa kwenda mjini Morogoro kuweka kambi ya takribani wiki tatu kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara chini ya Kocha Mkuu, Goran Kopunovic na msaidizi wake, Salvatory Edward. Wachezaji wa timu hiyo wapya na wale wa zamani wameshaingia kambini tangu Jumatatu kwenye maskani yao eneo la…

Read More

Dk Nchimbi akemea kauli za kibaguzi CCM

Iringa. Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi amewataka viongozi na wanachama wa chama hicho kuepuka kutoa kauli za kibaguzi au kufanya vitendo vyenye taswira inayoweza kutafsiriwa kuwa baadhi yao wanashabikia ukandamizaji wa haki za wananchi. Kauli ya Dk Nchimbi imekuja kutokana na video iliyosambaa katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha mmoja wa makada wa CCM,…

Read More