Aliyekuwa kocha Biashara atoa msimamo
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Biashara United ya Mara, Amani Josiah amesema kwa sasa yuko huru baada ya kumaliza mkataba na klabu hiyo huku akikiri kupokea ofa kutoka timu mbalimbali ambazo bado hajazitolea uamuzi akisubiri timu itakayomshawishi kwa ofa nzuri. Josiah aliiongoza Biashara msimu uliopita katika Ligi ya Championship akisaidiana na Edna Lema na Ivo Mapunda,…