Srelio, Crows zaanza na moto

TIMU za kikapu ya Srelio na Crows zimeanza kuzitisha timu zinazoshiriki ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kushinda katika mchezo wao wa kwanza wa mzunguko wa pili wa ligi hiyo uliopigwa  kwenye Uwanja wa Don Bosco Youth Centre. Vitisho vya timu hizo vimetokana na timu ya Srelio kuifunga timu ya…

Read More

Vifungashio vya madini kuboreshwa kudhibiti utoroshaji

TUME ya madini ipo kwenye mchakato wa kuboresha vifungashio vya madini katika masoko ya madini nchi nzima ikiwa ni mkakati wa kuendelea kudhibiti utoroshaji wa madini. Hayo yamesemwa na Aloyce Bwana Mteknolojia Maabara katika Maonesho ya 48 Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (Sabasaba). Amesema, mkakati wa Tume kuanzia mwaka huu wa fedha 2024/2025 ni…

Read More

Mafunzo tunayotoa yanaakisi mahitaji ya nchi – Profesa Kusiluka

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Profesa Lugalo Kusiluka, amesema mafunzo yanayotolewa katika chuo hicho yanaakisi mahitaji ya nchi kutokana na tafiti na bunifu mbalimbali zinazofanywa ambazo nyingi zimeleta matokeo chanya kwa jamii. Profesa Kusiluka ameyasema hayo Julai 10,2024 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) ambapo…

Read More