RC MAKONDA AKUTANA NA WAKUU WA TAASISI ZA USALAMA MKOA WA ARUSHA – MWANAHARAKATI MZALENDO
Na Mwandishi Wetu; Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda @baba_keagan amekutana na kuzungumza na Wakuu wa vyombo vya Usalama Mkoa wa Arusha, kikao kazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano ofisi ya mkuu wa mkoa huo mapema leo Julai 11, 2024. Katika kikao hicho, Mhe.Makonda ameweka wazi kuwa lengo la kikao kazi hicho,…