MAGDALENA: Ondoeni hofu, medali ya Olimpiki ipo!

MWANARIADHA nyota wa Kimataifa wa Tanzania, Magdalena Shauri, ni miongoni mwa Watanzania wanne watakaoenda kushiriki Michezo ya Olimpiki ya Paris, Ufaransa wakibeba mioyo ya wananchi zaidi ya milioni 60. Magdalena anayetokea katika timu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ataungana na wenzake Jackline Sakilu, Alphonce Simbu na Gabriel Geay, kukata kiu yake ya kushiriki…

Read More

Simba yanasa beki mwingine wa kulia, Mwenda kitanzini

LICHA ya kikosi chote kipya cha Simba kuwa kambini Ismailia, Misri, hiyo haijawazuia mabosi wa klabu hiyo kuendelea kushusha mashine mpya, baada ya kumnasa beki aliyekuwa Singida FG, Kelvin Kijiri ili kuimarisha eneo hilo la kulia lenye mkongwe Shomari Kapombe. Kijiri amemalizana na Simba kwa mkataba wa miaka miwili na Mwanaspoti linafahamu, beki huyo amemwaga…

Read More

Juhudi za uokoaji za Ukraine, mwanaharakati wa Libya kutekwa nyara, athari za hali ya hewa kwenye hifadhi ya samaki, SDG 'simu ya kuamka' – Masuala ya Ulimwenguni

Mashambulizi hayo pia yaliharibu majengo 130 – huduma za uokoaji bado zinafanya kazi ya kusafisha mabaki. Shughuli za uokoaji Mashambulizi hayo ya anga siku ya Jumatatu yalipiga na kuharibu Hospitali ya Watoto ya Okhmatdyt, ambapo shughuli za uokoaji zimekamilika. Kwa mujibu wa maofisa wa Serikali na washirika waliokuwepo uwanjani hapo, watoto sita waliojeruhiwa katika shambulio…

Read More

Chuku: Huyu Bocco bado sana!

SIMBA imeachana na aliyekuwa nahodha wa timu hiyo ambaye amehudumu kwa miaka sita ndani ya kikosi hicho akitwaa mataji ya ndani wakiaamini atastaafu, lakini mambo yamebadilika kwani ameibukia JKT Tanzania. Wakati staa huyo mwenye rekodi nzuri kwenye eneo analocheza bado hajaanza kibarua cha kuitumikia timu yake mpya ya JKT Tanzania, aliyekuwa beki wa Pamba, Salum…

Read More

Tirdo wanadi maabara inayozuia upotevu wa umeme

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limewataka wenye viwanda na wafanyabiashara kutumia maabara za kupima na kutambua upotevu wa umeme ili kupunguza gharama za uendeshaji na kuongeza ufanisi katika uzalishaji. Maabara hiyo inamwezesha mtumiaji wa umeme kwenye majengo makubwa, viwandani na majumbani kupunguza matumizi ya nishati hiyo…

Read More

Bocco atambulishwa rasmi kuwa mshambuliaji wa JKT Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Simba, John Bocco, ametambulishwa rasmi kuwa mshambuliaji mpya wa klabu ya JKT Tanzania. Bocco, ambaye ni kinara wa mabao katika Ligi Kuu ya Tanzania, tayari ameanza mazoezi na klabu yake mpya, akijiandaa kwa msimu ujao. Msimu uliopita haukuwa mzuri kwa Bocco kutokana na kutopata nafasi…

Read More