WANAHARAKATI WAIPONGEZA SERIKALI KWA MAFANIKIO DIRA YA TAIFA 2025

WANAHARAKATI wa masuala ya Jinsia na Maendeleo wameipongeza Serikali kwa uwajibikaji mkubwa kwenye Dira ya taifa ya miaka 25 iliyopita katika nyanja ya elimu ,afya pamoja na sekta ya habari na mawasiliano. Pongezi hizo zimetolewa leo Julai 10,2024 Mabibo -Jijini Dar es salaam,kwenye semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) zinazofanyika kila jumatano TGNP-Mtandao, Akizungumza wakati…

Read More

Mwabukusi auweka njiapanga uchaguzi TLS

Mwanza. Sakata la uchaguzi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) limeendelea kuchukua sura mpya baada ya mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Ziwa, Steven Kitale kufungua shauri la mapitio ya kimahakama dhidi ya TLS. Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwananchi, leo Jumatano, Julai 10, 2024, Kitale amesema katika shauri hilo namba 16018/2024, lililofunguliwa Mahakama…

Read More

Vielelezo vyaibua mvutano mkali kesi ya ukahaba

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania inatarajia kuwa na mashahidi 15 na vielelezo 10 katika kesi ya kufanya vitendo vya aibu mbele ya hadhara inayomkabili Amina Ramadhani na wenzake 17. Mashahidi hao wanatarajia kutoa ushahidi wao, Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, Dar es Salaam baada ya upelelezi wa shauri hilo kukamilika na washtakiwa kusomewa…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Mkenya kwenye rada za Yanga

YANGA imeanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji Mkenya, Duke Abuya baada ya mkataba wake na Singida Black Stars kuisha. Nyota huyo aliyejiunga na Singida akitokea timu ya Kenya Police, inaelezwa huenda akatua Jangwani ili kupata changamoto mpya huku Yanga ikiingilia kati dili baada ya awali Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ kumhitaji pia. UONGOZI wa Yanga huenda…

Read More

TCRA yaeleza makosa huduma za utangazaji nchini

Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) mwaka 2021/22 na 2022/23 kuhusu maudhui ya redio, televisheni na mitandao yenye leseni ulionesha  asilimia 26 ya ukiukwaji ulihusu kutozingatia kanuni za kumlinda mtoto. Kanuni za utangazaji na za maudhui zinawataka watoa huduma kuepuka maudhui yasiyofaa kwa watoto wakati wa familia nzima kusikiliza redio…

Read More

Kuimarika kwa kidijitali kunaweza kuwa kikwazo kwa mazingira, linaonya shirika la biashara la Umoja wa Mataifa – Global Issues

Haya ni baadhi tu ya matokeo yanayohusu ripoti mpya kuhusu uchumi wa kidijitali na wakala wa biashara wa Umoja wa Mataifa UNCTADambayo inasisitiza kuwa Athari hasi za mazingira za sekta inayostawi lazima zichukuliwe kwa umakini zaidi – na zipunguzwe na uwekezaji katika bidhaa zinazoweza kurejeshwa. “Kuongezeka kwa teknolojia kama vile akili bandia na cryptocurrency, madini…

Read More