MKENDA ASISITIZA TAFITI ZA KISAYANSI KUONGEZA TIJA YA UZALISHAJI

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ni muhimu kufanya utafiti wa kisayansi kusaidia kukwamua changamoto za uzalishaji sekta mbalimbali ikiwemo Elimu na kilimo kuchochea ustawi Endelevu wa maendeleo kiuchumi. Mkenda amesema hayo leo Julai 10, 2024 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika Ufunguzi wa Mkutano Mkuu unaojadili ushahidi wa matokeo…

Read More

Biko Scanda anukia CEO mpya Pamba

KLABU ya Pamba Jiji iko katika mazungumzo na Biko Scanda ili awe mtendaji mkuu mpya kwa ajili ya msimu ujao. Taarifa kutoka ndani ya kikosi hicho zimeiambia Mwanaspoti kwamba, vikao vya ndani vinaendelea kwa ajili ya kumpata mtendaji mkuu baada ya mkutano uliofanyika Juni, mwaka huu jijini Mwanza kushindwa kupata mtu sahihi. “Mazungumzo baina ya…

Read More

Sugu akumbuka maumivu ya mama yake akihutubia wananchi Kabwe

Mbeya. “Tutawasamehe lakini hatutasahau.” Ni kauli aliyozungumza Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ katika mkutano wa kwanza wa hadhara jijini Mbeya. Sugu aliyewahi kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa baada ya kushinda uchaguzi uliofanyika Mei 29, 2024 alipombwaga Mchungaji…

Read More

MZUMBE YABUNI MBEGU YA MGOMBA KUPITIA NDIZI MBIVU

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KUFUATIA changamoto kwa wakulima wa zao la ndizi kuwa na uhaba wa mbegu bora za migomba ya ndizi, mwanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Mzumbe amefanya utafiti na kubuni mbegu bora ya kisasa kwa kutumia ndizi mbivu  Akizungumza leo Julai 10,2024 katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba yanayofanyika…

Read More

Geita kasi ya ukuaji watu ni 5.4%

Imeelezwa kuwa Mkoa wa Geita watu wanakua kwa kasi kubwa kuliko ule wastani wa kawaida wa kitaifa ambapo takwimu zinaonyesha Mkoa wa Geita unakuwa kwa Asilimia 5.4 ambapo Kitaifa ni Asilimia 3.2. Hayo yameelezwa na Mchambuzi wa Idadi ya watu na Maendeleo kutoka shirika la Kimataifa UNFPA Ramadhani Hangwa wakati alipokuwa akiwasilisha Taarifa fupi Mkoani…

Read More

Kauli ya mwisho kwa mchumba wake kabla ya muuguzi KCMC kutoweka

Moshi. Neema Mmasy, mchumba wa muuguzi katika Hospitali ya Rufaa KCMC, Lenga Masunga (38), aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha ameeleza walichozungumza mara ya mwisho, alipomtaarifu ametoka kazini. Amesema walikuwa na utaratibu wa kuwasiliana mara kwa mara, wakati wa kwenda na kutoka kazini. Akizungumza na Mwananchi amesema Julai 2, 2024 saa 10.00 jioni waliwasiliana,  akamtaka aendelee…

Read More

Hii ndio Simba sasa iko ‘full’ mkoko

SIMBA imeamua. Baada ya misimu mitatu ya unyonge katika Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA), Wekundu wa Msimbazi wamezinduka na kufanya usajili wa kibabe. Ikiwa na hasira ya kutolewa kinyonge na Mashujaa, kisha kumaliza nafasi ya tatu katika Ligi Kuu na kujikuta kwa mara ya kwanza ndani ya misimu sita, timu hiyo hiyo…

Read More