Watanzania Wahimizwa Kuchukua Hatua za Kuzuia Magonjwa ya Zuonotiki katika Siku ya Maadhimisho ya Magonjwa ya Zuonotiki Duniani

Serikali ya Tanzania, kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ikishirikiana na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) kupitia mradi wa Breakthrough ACTION, wameungana na mataifa mengine katika kuadhimisha Siku ya Magonjwa ya Zuonotiki Duniani, ikitumia fursa hii kuwahamasisha Watanzania kuhusu magonjwa ya zuonotiki, yaani magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa…

Read More

Serikali kushirikiana na Misri kibiashara

SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na nchi ya Misri katika masuala ya biashara ili kuhakikisha wafanyabiashara wanaendelea kupata fursa za kupeleka bidhaa mbalimbali nchini humo. Akizungumza jana katika Kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Misri kwenye Maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa Sabasaba, Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TANTRADE)…

Read More

Mke asimulia mume alivyomuaga kabla ya kujinyonga

Buchosa. Maria Ikangila, mke wa aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Tawi la Majengo wilayani Sengerema amesimulia mume wake alivyojitoa uhai kwa kujinyonga kutokana na ugumu wa maisha uliosababisha ashindwe kupata matibabu. Hamis Budaga (60), mkazi wa Kijiji cha Majengo, Kata ya Nyakasungwa mkoani Mwanza anadaiwa kujinyoga kwa kutumia kamba ya nailoni kwenye mti wa mwembe ulioko…

Read More

Shule Sakilight kufundisha muziki na Sanaa

*Yasema Muziki na Michezo inalipa Shule ua Mchepuo wa Kiingereza ya Sakilight iliyopo Pugu Bombani Jijini Dar es Salaam imeipokea sera mpya ya elimu inayosisitiza watoto kujifunza kwa vitendo zaidi kwa kuanziashadarasa la somo la muziki na michezo mbalimbali. “Tumeipokea sera hiyo nzuri na tumewekeza kwenye elimu ya muziki na michezo kwa ujumlana tuna timu…

Read More

BILIC: Mwamba wa Croatia mwenye vituko vyake

UNAZIFAHAMU nchi za Balkan? Hizi ni Serbia, Croatia, Macedonia, Slovania, Kosovo na Montntenegro na awali zilikuwa taifa moja la Yugoslavia mwaka 1943, kabla ya kusambaratika kwa taifa hilo na kuibuka nchi hizo mwaka 1991. Kisoka kwenye nchi hizi, ni Croatia ndiyo inayojulikana zaidi kati ya nchi hizo na imecheza fainali tano za Kombe la Dunia,…

Read More

Yaliyomkumba DC Bomboko ndani ya miezi mitatu Ubungo

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko kwa miezi mitatu ya uongozi wake ndani ya wilaya hiyo, amekumbana na ukosoaji wa hatua mbili alizochukua ikiwamo oparesheni ya kutokomeza biashara ya ‘makahaba’ maarufu dada poa. Operesheni hiyo ilipingwa kwa kile kilichoelezwa ukamataji uliofanyika unakiuka haki za binadamu na unaudhalilishaji. Kadhia nyingine aliyokumbana nayo…

Read More

Arusha kuna kishindo cha Lina PG Tour

Kesho katika viwanja vya Gymkhana jijini Arusha na magwiji wa gofu nchini wamenza kusaka kitita cha Sh50 milioni, kwa washindi wa raundi ya tatu ya mfululizo wa mashindano maalumu ya kumuenzi, Lina Nkya,  mlezi na mwendelezaji wa gofu ya wanawake aliyefariki dunia miaka ya karibuni. Kwa mujibu wa Mkurugenzi na mratibu wa mashindano hayo yaliyopewa…

Read More

Wageni wa TCA waibamiza Timu ya Taifa leaders

WAKATI Ligi ya mizunguko 20 ya Caravans T20 ikihitimisha hatua ya makundi katika viwanja mbalimbali jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma, kulifanyika mechi kali ya wakali wa mchezo huo mwanzo mwa juma hili. Mechi hiyo iliyoandaliwa na chama cha kriketi nchini(TCA), iliwakutanisha nyota ya timu ya Taifa na wachezaji wa kigeni waliong’ara kwenye ligi….

Read More

Milioni tatu zachangwa ujenzi nyumba ya mtumishi CCM

Mjumbe wa Halmashauri Kuu (CCM) mkoa wa Songwe, Ombeni Nanyoro ametoa msaada wa tofali 10,000 na bando sita za bati kuchangia ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa chama hicho. Anaripoti Ibrahim Yassin, Sumbawanga…(endelea). Nanyaro aliyekuwa mgeni rasmi jana kwenye kwenye Baraza la Umoja wa vijana (VCCM ) wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, ametoa msaada huo…

Read More