Madereva 25 kuchuana Tanga | Mwanaspoti

IDADI ya madereva na waongozaji inatarajiwa kuongezeka maradufu na kufikia 25 wakati mpango wa kuwashirikisha madereva zaidi kutoka Kenya ukiendelea kabla ya mbio hizo kutimua vumbi mkoani Tanga, Julai 21, mwaka huu. Kwa mujibu wa waandaaji wa mbio hizo, Mount Usambara Club, awali ni madereva 15 pekee walithibitisha kushiriki mbio hizo, lakini idadi hiyo sasa…

Read More

Dosari za Tehama zinavyozihenyesha taasisi za umma Zanzibar

Unguja. Licha ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ya awamu ya nane kuwekea mkazo katika mabadiliko na matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), imebainika bado utayari, ukosefu wa wataalamu na usimamizi hafifu unakwamisha ukuaji wa sekta hiyo. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2022/23 imefichua upungufu unaosababishwa…

Read More

Wajawazito wenye dharura kupata usafiri bila malipo

Kibaha. Vifo vya wanawake vinavyotokana na changamoto za uzazi vimepungua kutoka 37 mwaka 2023 hadi kufikia 12 mwaka 2024 mkoani Pwani. Hatua hiyo imefikiwa kutokana na utekelezaji mfumo wa usafirishaji wa dharura wa wajawazito wenye matatizo baada ya kujifungua kutoka kituo kimoja kwenda kingine kupata huduma kulingana na changamoto wanazopata. Mfumo huo wenye lengo la…

Read More

SPOTI DOKTA: Mvunjiko wa pua wa Mbappe uko hivi

KATIKA mchezo wa nusu fainali ya Euro 2024, juzi Jumanne nchini Ujerumani, miamba ya soka barani Ulaya Ufaransa ilitupwa nje ya mashindano ikiwa na staa wake mwenye mvunjiko wa pua, Kylian Mbappe. Yalikuwa ni matoke mabaya kwa timu hiyo ambayo ndio walikuwa wa kwanza kutikisa nyavu, lakini baadaye kibao kiligeuka wakajikuta wakichapwa mabao 2-1. Siku…

Read More

Usiyopaswa kuyafanya ndani ya treni ya SGR

Dar es Salaam. Kama umezoea kuamua aina ya begi la kusafiria, kubeba kuku, mbwa na wanyama wengine unapokwenda kupanda basi, hali haiko hivyo kwenye usafiri wa treni ya umeme (SGR). Kwa taarifa yako, begi la shangazi kaja, mizigo inayozidi kilo 30 na wanyama wakiwemo wa kufugwa si sehemu ya vitu unavyopaswa kuwa navyo unapotaka kwenda…

Read More

Aziz KI amaliza utata Yanga, Baleke vipimo freshi

WAKATI Jean Baleke akianza rasmi tizi na Yanga leo, kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo, Stephane Aziz KI amemaliza utata juu ya hatma ya kusalia katika timu hiyo au kuondoka baada ya kutua alfajiri ya kuamkia leo kisha saa 8 mchana amezungumza na Wanayanga ‘laivu’ kusisitiza bado yupo sana Jangwani. Aziz aliyezua sintofahamu baada ya kudaiwa kutosaini mkataba…

Read More

‘Sura’ na upekee wa maonyesho ya Sabasaba 2024

Dar es Salaam. Unaweza kusema maonyesho ya 48 ya biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu Sabasaba mwaka huu ni ya kipekee kutokana na ongezeko la kampuni za kigeni zilizoshiriki zikiwamo za magari. Maonyesho haya yanaweka upekee kwa watembeleaji pia,  hasa baada ya kuwapo kwa bidhaa nyingi za kielektroniki kutoka nje kwa ajili ya…

Read More