Mgambo apigwa na wamachinga, akimbilia kanisani

Mwanza. Askari anayedaiwa kuwa wa Jeshi la Akiba maarufu mgambo ambaye jina lake halikupatikana amekimbilia kanisani kunusuru maisha yake baada ya kushambuliwa na wafanyabiashara ndogondogo maarufu Wamachinga. Tukio hilo limetokea leo Jumatano Julai 10, 2024, eneo la Soko la Buhongwa jijini Mwanza, wakati mgambo hao walipochukua matunda ya Wamachinga wanaofanya biashara eneo hilo. Katika eneo…

Read More

Ajira mpya 12,000 za walimu kupunguza changamoto ya upungufu wa walimu – Mhe. Katimba

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Mhe. Zainab Katimba amewahakikishia wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kichangachui iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji kuwa, katika mwaka wa fedha 2024/25 Serikali itaajiri walimu 12,000 ili kupunguza changamoto ya upungufu wa walimu nchini. Mhe. Katimba ameeleza mpango huo wa Serikali kuajiri walimu, mara baada ya kutakiwa na Makamu wa…

Read More

Maandamano yaiweka Kenya hatarini kutokopesheka

HUENDA Kenya ikanyimwa mikopo baada ya kushushwa hadhi kwenye viwango vya Shirika la Kimataifa la kutathmini Madeni ya Mataifa na Utoaji Mikopo (Moody’s). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Ripoti ya Moody’s iliyotolewa jana Jumanne imeonyesha kuwa, kutotiwa saini kwa Muswada wa Fedha 2024/25 kumechangia Kenya kushuka viwango na kuwa kati ya nchi zinazoelekea kuelemewa…

Read More

Mil.120 za mapato ya ndani zajenga wodi 3 Mbinga

Mkurugenzi wa Idara ya Afya Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt. Rashid Mfaume amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Joseph Kashushura kwa kutenga fedha Shilingi Mil. 120 kutoka mapato ya ndani kwa ajili ya kutekeleza ujenzi wa wodi tatu ( wanaume, wanawake, watoto) zinazojengwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya…

Read More

Simba yamsajili mrithi wa Kapombe

SIMBA imegusa kila eneo msimu huu isipokuwa mlinda mlango tu hii ni baada ya kukamilisha usajili wa beki, Kelvin Kijiri kutoka Singida Fountain Gate. Wanamsimbazi hao wamesafisha kikosi chao kilichoshindwa kutwaa mataji kwa misimu miwili mfululizo huku wakisajili damu changa kwa kugusa kila eneo. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeliambia Mwanaspoti kuwa Kijiri…

Read More

Mradi wa bilioni Moja kuwanufaisha wananchi wa Kiuyu, Waziri Chande atoa neno “vyumba 18 vya ofisi”

Naibu waziri wa Fedha, Hamad Chande amesema wananchi wa Kiuyu kigongoni wilaya ya Wete mkoa wakaskazini Pemba wanatarajia kunufaika na huduma za afya zitakazotolewa katika kituo cha afya cha kisasa kinachojengwa katika eneo hilo. Naibu waziri Chande amesema hayo kisiwani Pemba baada ya kutembelea na kukagua ujenzi wa kituo hicho ambapo amesema pamoja na changamoto…

Read More

Mkutano wa kilele wa NATO kufanyika Washington – DW – 10.07.2024

Viongozi wanachama wa NATO pia watazungumzia jinsi ya kuimarisha umoja wao kutokana na changamoto zinazouandama ulimwengu wa Magharibi. Mkutano huo wa kilele unafanyika baada ya sherehe zilizofanyika usiku wa kuamkia Jumatano kuadhimisha miaka 75 tangu kuanzishwa kwa muungano huo wa kijeshi, zilizofanyika mjini Washington. Rais Biden ahimiza mshikamano Rais wa Marekekani, Joe Biden ambaye ndiye…

Read More