Waziri Mhagama akabidhi vifaa Tiba Kituo cha Afya Liganga

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu),  Jenista Mhagama, amesema Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI imejipanga kuboresha huduma za afya ili kuokoa vifo vya akina mama na watoto wakati wa uzazi. Waziri Mhagama alitoa kauli hiyo, Julai 9, 2024, wakati wa ziara yake ya kutembelea…

Read More

Yamal hakuanza leo kuwadhuru Wafaransa

MUNICH, UJERUMANIKINDA wa miaka 16, Lamine Yamal, ameiongoza timu ya taifa ya Hispania kutinga fainali ya michuano ya Mataifa ya Ulaya akifunga bao lake la kwanza la michuano hiyo kwa staili ya aina yake wakati kikosi cha kocha Luis de la Fuente kikiibuka kutoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Ufaransa ya Kylian Mbappe mjini…

Read More

Dc shaka afika Kijiji kinachodaiwa kuwa na wachawi

Mkuu wa wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka amefika katika Kijiji Cha Kitete baada ya kupata malalamiko kutoka kwa wananchi baada ya kukoseka huduma ya umeme katika eneo hilo licha ya nguzo za umeme kupitia ndani ya Kijiji hicho. Wananchi hao wakizungunza wakati wa Mkutanano wa hadhara katika Kijiji hicho ambapo wamesema kuwa kumekua na…

Read More

Vyumba vya mateso na baa za karaoke katika 'mashamba ya utapeli' yanayoendeshwa na genge – Global Issues

Inakadiriwa kuwa kuna mashirika 400 hivi ya uhalifu nchini Ufilipino pekee. Takriban kila mara huendeshwa kwa siri na kinyume cha sheria pamoja na shughuli zilizoidhinishwa na halali za michezo ya kubahatisha mtandaoni. Kuongezeka kwa mashamba ya utapeli mtandaoni yanayolenga wahasiriwa kote ulimwenguni ni jambo jipya ambalo lililipuka wakati wa COVID 19 janga kubwa. Tume ya…

Read More

Khan, Whyte wamjaza Tyson | Mwanaspoti

MABONDIA Amir Khan na Dillian Whyte wametoa mtazamo wa pambano la marudiano baina ya mabondia Tyson Fury na Oleksandr Usyk linalotarajiwa kufanyika Desemba, mwaka huu, Saudi Arabia. Kahn anakiri ugumu wa Fury kumpiga Usyk, lakini kama atajiandaa vyema atalipa kisasi kwani ana uwezo wa kumpiga mpinzani wake huyo. Whyte kwa upande wake amemtaka Fury kutojiamini…

Read More

Uchaguzi wa Msumbiji na mustakabali wa wananchi wake

Msumbiji inatarajia kufanya uchaguzi mkuu Oktoba 9, mwaka huu, ukiwa ni moja kati ya chaguzi muhimu katika historia ya nchi hiyo, wananchi wanapata fursa ya kuchagua viongozi wao wa kitaifa, ikiwa ni pamoja na Rais na wabunge. Siyo mara ya kwanza kwa Taifa hilo kufanya uchaguzi. Baada ya kupata uhuru wake kutoka kwa Wareno, mwaka…

Read More