TBS YASHIRIKI MAONESHO YA SABASABA, YATOA ELIMU KUHUSU MASUALA YA UBORA WA BIDHAA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa huduma kwa wajasiriamali ,wafanyabiashara na wadau mbalimbali wa Viwango katika Maonesho ya  48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam Sabasaba ambapo wamekuwa wakiwapa taarifa ya huduma ambazo wanazitoa ikiwemo uandaaji wa viwango,usajili wa bidhaa na majengo ya vyakula na vipodozi. Akizungumza na Waandishi…

Read More

Savio yaanza kuonyesha ubabe BDL

Savio imeonyesha ukubwa wake katika Ligi ya  Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kuifunga  Mchenga Star kwa pointi 82-77 katika mchezo uliofanyika juzi usiku kwenye Uwanja wa Donbosco Osterbay. Mchezo huo ulishuhudiwa na mashabiki wengi wakitaka kujua nani angeibuka na mshindi siku hiyo.  Akizungumza na Mwanaspoti baada ya mchezo kumalizika, kocha mkuu…

Read More

KONA YA MALOTO: Vifo vya mabilionea Tanzania inajifunza nini?

Agosti 1906, mwandishi wa Marekani, Ida Tarbell, alikamilisha mfululizo wa makala ambayo aliyapa kichwa “John D Rockefeller: A Character Study”, kwa Kiswahili unaweza kuiweka hivi, “John D Rockefeller: Somo la Uhusika.” Nakala ya kwanza ilitoka mwaka 1905 kwenye Jarida la McClure. Ida, katika makala hayo, alifichua jinsi bilionea huyo wa Standard Oil, alivyokuwa akihusika na…

Read More

Kahama Sixers yaichapa Risasi | Mwanaspoti

Timu ya kikapu ya Kahama Sixers imeifunga Risasi kwa pointi 87 -64 katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Shinyanga uliofanyika  Uwanja wa Kahama. Akizungumza na Mwanasposti kwa simu kutoka Shinyanga, kamishina wa ufundi na mashindano wa mkoa huo, George Simba alisema timu nne ndizo zinazoshiriki michuano hiyo. Alizitaja timu hizo kuwa ni Kahama…

Read More

Sababu za kuanguka kwa vyama tawala chaguzi za 2024

Kubweteka kisera, mawazo na mfumo wa siasa ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kuviweka baadhi ya vyama tawala vya siasa katika mstari mwembamba wa ushindi au kushindwa kabisa kwenye chaguzi zilizofanyika hivi karibuni. Kwa mujibu wa wanazuoni wa sayansi ya siasa na utawala, matokeo mabaya katika chaguzi za hivi karibuni dhidi ya vyama tawala yamechochewa na…

Read More

Kagame kuendelea leo Dar | Mwanaspoti

BAADA ya jana kupigwa michezo minne ya ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame, itaendelea leo na itakuwa ni zamu ya timu za kundi ‘B’, mechi zote zikipigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam. Mchezo wa mapema utakuwa kati ya Al Hilal ya Sudan itakayocheza dhidi ya Djibouti Telecom ya Djibouti…

Read More

Simulizi waumini wanavyolizwa pesa kanisani-1

Dar es Salaam. Kama ilivyo katika mataifa mbalimbali Afrika, nchini Tanzania, aina mpya ya viongozi wa dini inajitokeza, ikitumia mtaji wa watu maskini kujikusanyia mali. ‘Manabii’ hawa wa kisasa wameigeuza imani kuwa biashara yenye faida kubwa, wakitumia udhaifu wa wafuasi wao kujipatia mamilioni ya fedha. Uchunguzi wa Mwananchi umebaini licha ya ‘manabii’ na ‘mitume’ hawa kuwa…

Read More

Aziz Ki atua Dar kutegua kitendawili

Dar es Salaam. Taarifa itakayowashusha presha mashabiki wa Yanga ni kwamba hatimaye kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Stephanie Aziz KI, amewasili nchini huku akitolewa Uwanja wa Ndege kininja. Aziz KI, amewasili nchini alfajiri ya leo Julai 10, 2024 akitokea mapumziko nchini kwao kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia lakini akatoka kimkakati uwanja wa…

Read More