Prof. Mkenda Ajadili na KTI Namna ya Kuwezesha Ujuzi kwa Vijana ili Wajiajiri – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda Julai 09, 2024 amekutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya King’s Trust International (KTI) Kusini mwa Jangwa la Sahara Bw. Andre Harriman kujadili namna ya kuwezesha ujuzi kwa Vijana ili wajiajiri na kuajiriwa. Katika majadiliano hayo Prof. Mkenda amesema kutokana na maendeleo na mabadiliko ya teknolojia,…

Read More

Simulizi waumini wanavyolizwa pesa kanisani

Dar es Salaam. Kama ilivyo katika mataifa mbalimbali Afrika, nchini Tanzania, aina mpya ya viongozi wa dini inajitokeza, ikitumia mtaji wa watu maskini kujikusanyia mali. ‘Manabii’ hawa wa kisasa wameigeuza imani kuwa biashara yenye faida kubwa, wakitumia udhaifu wa wafuasi wao kujipatia mamilioni ya fedha. Uchunguzi wa Mwananchi umebaini licha ya ‘manabii’ na ‘mitume’ hawa kuwa…

Read More

Majeruhi yaongezeka nchini Ukraine huku mashambulizi ya Urusi yakiongezeka, Baraza la Usalama lasikia – Masuala ya Ulimwenguni

Hospitali mbili kuu za kibingwa za watoto na wanawake nchini ziliharibiwa kwa kiasi kikubwa pamoja na miundombinu muhimu ya nishati, ikiripotiwa kuua makumi ya raia, wakiwemo watoto, na zaidi ya 110 kujeruhiwa. Joyce Msuya, Kaimu Mratibu wa Misaada ya Dharura wa Umoja wa Mataifa, aliwaambia mabalozi katika mkutano huo Baraza la Usalama Jumanne, ofisi ya…

Read More