Shahidi aieleza mahakama Alex Msama alivyomwachia eneo

Dar es Salaam. Raymond Shao ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jinsi mfanyabiashara Alex Msama alivyomwambia amuachie eneo liliopo Mbezi Beach ili amlipe fidia ya mali ikiwemo nyumba mbili pamoja na fidia ya mali Sh100 milioni. Inadaiwa kati ya Aprili hadi Oktoba 2016, jijini  Dar es Salaam mshtakiwa Alex Msama aligushi hati yenye namba D/KN/13504/3/TMM…

Read More

Abiria 4,000 wanapanda treni ya SGR kila siku

Dar es Salaam. Treni ya Umeme ya Kisasa (SGR) imeonekana kuwavutia wasafiri wengi tangu ilipoanza kutumika nchini, ikisafirisha abiria zaidi ya abiria 4,000 kwa siku, kwa mujibu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC). Idadi ya abiria wanaosafiri kwa treni hiyo kwa siku imefikia kiwango hicho katika kipindi ambacho safari pekee zinazofanyika ni katika mikoa ya…

Read More

Betting Sites 5 Bora Tanzania za Ushindi: Ushindi Unaanzia Hapa!

Katika miaka ya hivi karibuni, tasnia ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania imepata umaarufu mkubwa sana. Watanzania wengi wanapenda kubashiri michezo mbalimbali hasa hasa soka, ikifatiwa na basketball, na mengineyo, kwa matumaini ya kushinda fedha za ziada. Hapa chini, tumekusanya orodha ya tovuti 5 bora za kubashiri nchini Tanzania, ambazo zimepata umaarufu sana kwa huduma…

Read More

DKT. MRAMBA ATEMBELEA BANDA LA CBE SABASABA

Naibu Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara(CBE), anayeshughulikia Taaluma Utafiti na Ushauri Dk. Nasibu Mramba leo, Julai 09,2024 ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara (Sabasaba), na kufika katika Banda la Chuo hicho ambapo pamoja na mambo mengine alipata nafasi ya kusikiliza kazi za kibunifu zilizifanywa na wanafunzi wa Chuo hicho. Dk. Mramba…

Read More

Trafiki waliodaiwa kuchezea mashine wafutwa kazi

Moshi. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewafukuza kazi na kuwafuta jeshini askari wake wanne wa usalama barabarani Wilaya ya Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za kufuta picha kwenye kamera za jeshi hilo walizokuwa wanatumia kupima mwendokasi wa madereva. Taarifa ya Msemaji wa Jeshi hilo, David Misime aliyoitoa leo Jumanne, Julai 9, 2024 imesema askari…

Read More

VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUEPUKA MIGOGORO

MSAJILI wa Vyama Vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka Vyama Vya Siasa kuepuka migogoro ambayo imekuwa ikijitokeza kwenye vyama hivyo kwani kunaweza kusababisha kuleta mifarakano katika taifa. Agizo hilo amelitoa leo Julai 9,2024 jijini Dar es Salaam wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa viongozi wa vyama vya siasa nchini yakiwa na lengo la…

Read More