Dawa 127 za asili zasajiliwa, ipo ya Kisukari

Dar es Salaam. Wakati mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) akiwa amekamilisha utafiti wake na kutengeneza dawa ya kisukari inayotumia mitishamba, Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala limesema hadi Juni 2024 dawa 127 zimesajiliwa. Mbali na kusajiliwa kwa dawa hizo, baraza limeweka wazi kuwa hakuna dawa ya figo wala Ukimwi iliyosajiliwa kwa sababu…

Read More

Maghorofa Dar yashuka bei, kiini chatajwa

Matokeo ya sensa ya majengo ya mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya majengo yote Tanzania ni 14,348,372 ambapo 13,907,951 yapo Tanzania Bara na majengo 440,421 yapo Tanzania Zanzibar. Aidha majengo mengi (asilimia 94.4) Tanzania siyo ya ghorofa. Majengo tisa kati ya kumi ni kwa ajili ya makazi na asilimia 3.4 ni ya biashara – makazi….

Read More

Mwabukusi kutua mahakamani kesho akipinga kuenguliwa

Dar es Salaam. Hatimaye wakili Boniface Mwabukusi aliyeenguliwa kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), amepata marejeo ya uamuzi wa Kamati ya Rufaa na anatarajiwa kuyawasilisha mahakamani kesho Julai 10. Mwabukusi aliyekuwa miongoni mwa wagombea sita wa nafasi hiyo, alitangaza kupinga uamuzi uliotolewa Julai 6, 2024 na kamati hiyo. Wagombea wengine…

Read More

MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA (TMDA), IMETOA WITO KWA WANANCHI KUENDELEA KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Adam Fimbo, akizungumza na waandishi wa Habari kwenye Maonesho  ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba), yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam. Na: Mwandishi wetu Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), imetoa wito kwa wananchi kuendelea…

Read More

Kucheza na njaa kulivyomkimbiza Nelly Ligi Kuu

UKITAJA mabinti warembo 10 wanaofanya vizuri katika Ligi Kuu ya Wanawake Bara, basi huwezi kumuacha mwanadada Nelly Kache anayekipiga Alliance Girls ya jijini Mwanza. Licha ya kucheza Tanzania, lakini ndoto zake kubwa ni kusakata kabumbu Ufaransa ambako anaamini atakuza zaidi kipaji chake. “Tanzania unapata fursa nyingi ya kuonekana. Naamini kuna mawakala mbalimbali wanafuatilia ligi hii…

Read More