Modi amuhimiza Putin kutafuta amani kwa njia ya mazungumzo – DW – 09.07.2024

Waziri Mkuu Modi alitoa matamshi hayo kwenye televisheni, alipokutana na Rais Putin katika Ikulu ya Kremlin, kwenye ziara yake nchini Urusi.  “Mheshimiwa, vita, mapambano, au mashambulizi ya kigaidi, kila mtu anayeamini katika ubinadamu anahisi uchungu watu wanapopoteza maisha. Na hata huko, watoto wasio na hatia wanapouawa, kuna mtu anayewaona wanakufa, moyo unauma, ni maumivu yasiyovumilika,…

Read More

Nigeria yaondoa ushuru wa bidhaa kutoka nje

Nigeria. Nchi ya Nigeria inapanga kusitisha ushuru kwa baadhi ya bidhaa za vyakula kutoka nje ikiwa ni pamoja na ngano na mahindi kwa siku 150, ili kujaribu kudhibiti kupanda kwa bei katika taifa hilo lenye watu wengi zaidi barani Afrika. Reuters imemnukuu Waziri wa Kilimo wa Nigeria, Abubakar Kyari jana Jumatatu kwamba hatua hiyo ni…

Read More

Uhamisho wa Kulazimishwa Huwaacha Wanawake wa Afghanistan katika Umaskini Mkubwa – Masuala ya Ulimwenguni

Pakistan na Iran zinaendelea kuwafukuza wakimbizi wa Afghanistan hadi katika nchi yao ya asili, na kuwaacha wanaorejea katika hali mbaya. Credit: Learning Together. Jumanne, Julai 09, 2024 Inter Press Service Julai 09 (IPS) – Mwandishi ni mwandishi wa habari wa kike mwenye makazi yake Afghanistan, aliyepata mafunzo kwa usaidizi wa Kifini kabla ya Taliban kuchukua…

Read More

MIRATHI YA HANS POPE: Baba, mtoto yaamriwa wakamatwe

MAHAKAMA Kuu iliyopo katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia (IJC) Temeke, Dar es Salaam imetoa hati ya kukamatwa mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Z.H. Poppe Ltd, Caeser Hans Poppe na mwanaye Adam Caeser HansPoppe, kwa kuidharau. Mahakama hiyo imeelekeza Caeser na Adam ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo wakamatwe…

Read More

Germany yapata alama za juu ushirikishwaji wa wahamiaji – DW – 09.07.2024

Endapo ungewasikiliza wengi nchini Ujerumani, ungefikiri ushirikishwaji wa nchi hiyo wa wahamiaji na watafuta hifadhi unakwenda vibaya. Lakini utafiti mpya wa Shiŕika la Ushiŕikiano wa Kiuchumi na Maendeleo, OECD, lenye wanachama 38 unaonyesha kuwa sivyo. Licha ya changamoto kadhaa – kama vile elimu zaidi na mafunzo – Ujerumani inafanya kazi bora zaidi kuliko majirani zake…

Read More

Mbwa wenye kichaa watishia usalama wa wananchi Dar

Dar es Salaam. Halmashauri ya Ubungo imewataka watu wanaofuga mbwa kuwa na vibali  vitakavyowawezesha kutambulika na kuwa na usimamizi madhubuti wa mifugo hiyo. Mpango huo, unalenga kuwatambua wafugaji ili iwe rahisi kukabiliana na matukio ya wanyama hao kuwashambulia watu kama ambavyo inajitokeza katika baadhi ya mitaa ya Kata ya Makuburi iliyopo wilayani Ubungo. Katika kata…

Read More