Kibano kwa vituo holela vya massage ‘uswahilini’

Dar es Salaam. Wakati vituo vya kusinga mwili vikiendelea kuanzishwa katika maeneo mbalimbali nchini, Serikali inakusudia kusimamia ipasavyo sheria inayowataka kujisajili na kuwa na wahudumu waliosomea lasivyo watakumbana na faini isiyopungua Sh500,000, jela miaka miwili au vyote kwa pamoja.  Mbali na hilo, Serikali imebaini wahudumu wengi wanaofanya shughuli hizo maeneo mbalimbali nchini hawana sifa ya…

Read More

MIRATHI YA HANSPOPE: Baba, mtoto yaamriwa wakamatwe

MAHAKAMA Kuu iliyopo katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia (IJC) Temeke, Dar es Salaam imetoa hati ya kukamatwa mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Z.H. Poppe Ltd, Caeser Hans Poppe na mwanaye Adam Caeser HansPoppe, kwa kuidharau. Mahakama hiyo imeelekeza Caeser na Adam ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo wakamatwe…

Read More

DAWASA wana habari hii ikufikie wewe Mwananchi

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inapenda kuwatarifu wateja na Wananchi katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, kuwa zoezi la usomaji mita za Maji utaanza Julai 10 hadi 15 2024. Mamlaka inaomba ushirikiano kwa Wananchi pindi watoa huduma wa DAWASA watakapopita kutekeleza zoezi hili. Baada ya zoezi la…

Read More

Rushwa, muhali vyatajwa mwiba kukabili vitendo vya ukatili

Pemba. Wakati jitihada za kupinga vitendo vya udhalilishaji zikiendelea kisiwani Pemba, muhali na rushwa vimetajwa kuwa mwiba wa kukomesha vitendo hivvyo. Hayo yamebainika leo Jumanne, Julai 9, 2024 wakati wa uzinduzi wa mradi wa uwezeshaji wa kisheria na upatikanaji wa haki kwa wadau wa kupambana na vitendo hivyo kisiwani Pemba. Akizungumza katika mkutano huo, Sheha…

Read More

NG’OMBE BORA KWA MAZINGIRA KAME

Gilbert Msuta Meneja wa Sehemu ya Uhaulishaji wa Teknolojia kutoka Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) ameeleza kuwa moja ya tafiti kubwa ambayo taasisi imeifanya kwa miaka mingi na ambayo kwa kiasi kikubwa imewafikia wadau wengi ni teknolojia ya ng’ombe aina ya Mpwapwa ambae amezalishwa ili kumuwezesha mfugaji mwenye rasilimali chache kuwa na uzalishaji…

Read More