Hamilton mzuka tu langalanga | Mwanaspoti

HAIKUWA rahisi dereva Lewis Hamilton kuamini ameshinda mbio za magari duniani baada ya miaka miwili na nusu, tangu mara ya mwisho aliposhinda mwishoni mwa mwaka 2021. Hamilton, bingwa mara Saba wa mbio za magari duniani (formula one) alimaliza ukame wa mbio 56 bila ushindi, akishinda za wikiendi iliyopita Uingereza na akiweka rekodi mpya ya kuwa…

Read More

Vodacom yamwekea pingamizi Kabendera | Mwananchi

Dar es Salaam. Kampuni ya huduma za mawasiliano kwa simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Plc imewasilisha utetezi katika kesi ya madai ya Dola za Marekani 10 milioni (takribani Sh28 bilioni) zinazodaiwa na mwanahabari Erick Kabendera. Katika kesi hiyo inayosikilizwa na Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, Kabendera anaituhumu kampuni hiyo ya Vodacom kuwa…

Read More

Kikapu Mara wiki ijayo | Mwanaspoti

UZINDUZI wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mara umeshindwa kufanyika katika Uwanja wa Matumaini ili kupisha sherehe za makanisa zilizofanyika. Katibu mkuu wa Chama cha Mpira wa Kikapu mkoani humo,  Koffison Pius alisema baada ya kutofanyika uzinduzi huo  umesogezwa mbele hadi Julai 14. “Tunaheshimu sherehe za kanisa. Tuliamua kuzipisha kutokana na uwanja huo kuwa ni…

Read More

Mchungaji Msigwa alivyopokewa na makada wa CCM Iringa

Iringa. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iringa mjini kimempokea aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, aliyejiunga na chama hicho hivi karibuni huku wakiahidi kumpa ushirikiano. Chama hicho kimeahidi kumpa ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza majukumu mbalimbali ndani ya chama hicho kama mwanachama mpya. Akizungumza…

Read More

INEC YASISITIZA USHIRIKIANO KWA WATENDAJI WA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegeke akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji wa mkoa, Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi, Maafisa Ugavi na Maafisa TEHAMA wa halmashauri yaliyoanza leo Julai 9 na 10,2024 Mkoani Tabora. Mwenyekiti wa Tume Huru…

Read More

VODACOM YAKANUSHA VIKALI MADAI YA UTEKAJI WA KABENDERA – MWANAHARAKATI MZALENDO

 katika kusikilizwa kwa kesi ya mwandishi wa habari Eric Kabendera katika Mahakama Kuu ya Tanzania, ambapo amewasilisha kesi ya fidia ya dola milioni 10 dhidi ya Vodacom, kampuni hiyo imekanusha vikali madai hayo. Akizungumza na vyombo vya habari, Mtaalamu Mwandamizi wa Sheria kutoka Vodacom, Joseph Tungaraza alisema, “Tunakanusha vikali madai ya mlalamikaji. Tunatoa huduma zetu…

Read More

Mchungaji kortini akikabiliwa na mashtaka matano Dar

Dar es Salaam. Raia wa Congo ambaye ni mchungaji, Daniel Mgonja (23) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashtaka matano likiwemo la kujishughulisha na shughuli za kichungaji bila ya kuwa na kibali. Wakili wa Serikali, Rafael Mpuya akisoma hati ya mashtaka leo Jumanne, Julai 9,2024 mbele ya Hakimu Mkazi…

Read More

Sababu kipigo Mchenga zatajwa | Mwanaspoti

Sababu mbili ndizo zilizofanya timu ya wanawake ya Mchenga Queens ipoteze mchezo wake kwa pointi 72-34 dhidi ya  DB Troncatti katika Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Mchezo huo wa mzunguko wa pili kwa timu hizo ulifanyika katika wa Donbosco, Osterbay. Sababu ya kwanza iliyoiua Mchenga Queens ilitokana na wachezaji kutokuwa…

Read More

Naibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anadai sera za ujasiri, ufumbuzi wa kibunifu kwa SDGs – Masuala ya Ulimwenguni

Akihutubia katika ufunguzi wa kongamano hilo 2024 Kongamano la Kisiasa la ngazi ya juu kuhusu Maendeleo Endelevu (HLPF), Amina Mohammed ilitaka hatua za kuleta mabadiliko na sera shupavu za kushughulikia changamoto za kimataifa kama vile umaskini, uhaba wa chakula na mabadiliko ya hali ya hewa. “Ingawa changamoto kubwa mbele yetu ni ya kutisha, kwa pamoja…

Read More