Hemed: Wazanzibari badilisheni mitazamo kazi za hotelini

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Hemed Suleiman Abdalla, amesema licha ya kuwapo malalamiko kuwa kazi za hoteli kisiwani humo zinatolewa kwa wageni, changamoto ipo kwa wazawa kutothamini kazi hiyo, hivyo kuwataka wabadilishe mitazamo yao. Amesema kazi za hoteli na sekta ya utalii zinahitaji kujituma, hivyo wanaopata bahati kuajiriwa, wazingatie utoaji wa huduma bora….

Read More

Vodacom yakanusha vikali madai ya utekaji, Kabendera

  Leo, katika kusikilizwa kwa kesi ya mwandishi wa habari Eric Kabendera katika Mahakama Kuu ya Tanzania, ambapo amewasilisha kesi ya fidia ya dola milioni 10 dhidi ya Vodacom, kampuni hiyo imekanusha vikali madai hayo. Akizungumza na vyombo vya habari, Mtaalamu Mwandamizi wa Sheria kutoka Vodacom, Joseph Tungaraza alisema, “Tunakanusha vikali madai ya mlalamikaji. Tunatoa…

Read More

Kigamboni waanza kuunganishwa huduma ya maji

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA Mhandisi Mkama Bwire amesema kuwa Mamlaka imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso la kufanya maunganisho ya majisafi kwa wananchi wa maeneo ya Kigamboni kwa kutoa vifaa vya maunganisho ya majisafi. Amesema hayo wakati wa…

Read More

Yepi matarajio kwa rais mpya wa Iran – DW – 09.07.2024

Raia wa Irani walimchagua Jumamosi, Masoud Pezeshkian, mgombea mwenye msimamo wa wastani kuwa rais wao ajaye katika kura ya marudio iliyomshindanisha na Saeed Jalili, mhafidhina mwenye msimamo mkali na msuluhishi wa zamani wa nyuklia anaepinga vikali mataifa ya Magharibi. Pezeshkian, daktari wa upasuaji wa moyo,amekuwa mbunge wa Bunge la Iran tangu 2008. Alihudumu kama waziri…

Read More

CCM Iringa wampokea Msingwa rasmi

Iringa. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iringa mjini kimempokea aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, aliyejiunga na chama hicho hivi karibuni huku wakiahidi kumpa ushirikiano. Chama hicho kimeahidi kumpa ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza majukumu mbalimbali ndani ya chama hicho kama mwanachama mpya. Akizungumza…

Read More

Mashambulizi ya Ukraine yaua wanne Russia

Moscow, Urusi. Mashambulizi ya Ukraine kwenye eneo la mpaka wa Urusi la Belgorod yamewaua watu wanne ndani ya saa 24 zilizopita.  Vyacheslav Gladkov ambaye ni Gavana wa eneo hilo amethibitisha leo Jumanne, Julai 9, 2024. Aidha, akinukuliwa na AFP, Meya wa Belgorod, mji mkuu wa eneo hilo, Valentin Demidov amesema hapo awali vikosi vya Ukraine…

Read More

Urusi yashambulia droni za Ukraine kwenye maeneo ya mipaka – DW – 09.07.2024

09.07.20249 Julai 2024 Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema mifumo yake ya ulinzi wa anga imeharibu droni 38 za Ukraine usiku wa kuamkia leo katika maeneo ya mpakani ikiwemo Belgorod,Kursk,Voronezh,Rostov na Astrakhan. https://p.dw.com/p/4i3Qu Zana za kivita za Ukraine zikiwa katika eneo la DonetskPicha: Narciso Contreras/Anadolu/picture alliance Gavana wa jimbo la Astrakhan Igor Babushkin amesema Ukraine…

Read More

Umri wamnusuru na kifungo cha maisha jela

Arusha. Mahakama ya rufani imetengua hukumu ya kifungo cha maisha jela, aliyohukumiwa Emanuel Samwel, baada ya kukutwa na hatia katika makosa ya ulawiti na ubakaji. Hiyo ni baada ya kubaini kwamba Mahakama ilikosea kumtia hatiani kijana huyo pasipo kuthibitisha kwamba alikuwa mtu mzima. Kutokana na usikilizwaji wa awali wa kesi hiyo kutokuelezwa endapo mrufani alikuwa…

Read More