Aliyekuja Tanzania kutafuta ajira aambulia mwaka mmoja jela

Dar es Salaam. Raia wa Burundi, Gervas Ndayitwayeko (26), amehukumiwa kulipa faini ya Sh500,000 au katumikia kifungo cha mwaka mmoja jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini Tanzania bila kuwa na kibali. Ndayitwayeko, amehukumiwa adhabu hiyo leo Jumatatu  Julai 8, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya kukiri shtaka lake na…

Read More

Viongozi wawili waacha pigo Chadema, watimkia CCM

Tabora. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepata pigo baada ya makada wake wawili akiwemo katibu wa chama hicho Wilaya ya Tabora Mjini, Maxmilliani Jerome kutimkia Chama cha Mapinduzi (CCM). Katibu huyo wa Chadema amekikacha chama hicho cha upinzani nchini Tanzania kwenda chama tawala ikiwa ni wiki moja tangu aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya…

Read More

Aliyekuwa RC Simiyu kizimbani kwa tuhuma za ulawiti

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mkoa wa Mwanza na kusomewa shtaka moja la kulawiti. Dk Nawanda amepandishwa kizimbani leo Jumanne Julai 9, 2024, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Mkoa wa Mwanza, Erick Marley na kusomewa shtaka hilo na waendesha mashtaka…

Read More

Yanga yashusha kitasa kipya, msaidizi wa Aucho

KLABU ya Yanga imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji, Aziz Andambwile kutoka Singida Fountain Gates kwa mkataba wa miaka miwili. Kiungo huyo amejiunga na Yanga kuongeza nguvu eneo la kiungo cha ukabaji ambapo anaungana na Khalid Aucho na Jonas Mkude. Usajili wa kiungo huyo unamaanisha kwamba anakwenda kuchukua nafasi ya Zawadi Mauya ambaye hivi karibuni aliondoka…

Read More

Vodacom Supported Startups benefit from learning tour in China

Seven pioneering startups from the Tanzania Innovation ecosystem are innovating for social impact. Selected for Vodacom’s prestigious Digital Accelerator Program season 3, these visionary entrepreneurs recently returned from an enlightening trip to Shenzhen, China, a global tech hub. Among giants of innovation, they gained invaluable insights, fueling their mission to reshape Tanzania’s digital landscape. This…

Read More