MHE. NDEJEMBI APONGEZA MAFANIKIO NSSF

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi, ametembelea banda la NSSF katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) maarufu kama SabaSaba na  kupongeza kazi nzuri inayofanywa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kutokana na kupata mafanikio mbalimbali…

Read More

KAKOLANYA: Chama? Subirini mtaiona Yanga

MASTAA kung’oka kutoka Simba kwenda Yanga imekuwa hali ya kawaida na inaendelea kufanyika mwaka hadi mwaka, na mojawapo ya sajili za aina hiyo zilizotingisha ilikuwa ni Haruna Niyonzima kusajiliwa na Simba akitokea Yanga. Usajili huo uliwachefua mashabiki wa Yanga hadi kufikia hatua ya kuchoma jezi ya staa huyo wa Rwanda, wakiamini kwamba hakuwatendea haki bila…

Read More

Mambo ni moto…. Yanga yaijibu Simba

BAADA ya dili la kumpata Yusuf Kagoma ili kuongeza nguvu eneo la kiungo kushindikana na nyota huyo kutambulishwa Simba jana, Yanga imejibu mapigo kwa kushusha kiungo mwingine atakayecheza nafasi hiyo. Ipo hivi; Yanga ilikuwa ya kwanza kumfuata Kagoma aliyeitumikia Singida Fountain Gate msimu uliopita ili kumpa mkataba, lakini wakati ikiendelea kujadili juu ya ishu ya…

Read More

Miji kadhaa ya Ukraine yashambulia wimbi jipya la mashambulizi ya makombora ya Urusi – Masuala ya Ulimwenguni

Akilaani mashambulizi hayo ya mchana, mratibu mkuu wa Umoja wa Mataifa wa misaada nchini Ukraine, Denise Brown, alisema kuwa miji kadhaa ililengwa, ikiwa ni pamoja na mji mkuu, Kyiv, Kryvyi Rih na Pokrovsk. Mashambulizi hayo yalitokea “wakati watu walipokuwa wanaanza siku zao. Makumi ya watu wameuawa na kujeruhiwa,” sema Bi Brown, ambaye aliripoti uharibifu mkubwa…

Read More