Ndejembi:OSHA na BRELA wekeni mifumo ya kusomana

*Mtendaji Mkuu OSHA abainisha Mipango mikakati ya utoaji huduma kwa wananchi na wawekezaji Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Serikali imesema kuwa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kushirikiana na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA)ili mifumo yao isomane waweze kutambua kampuni na wawekezaji ambao wamekuja nchini ili waweze kuwatambua na kuwafikia…

Read More

Wananchi Kipunguni sasa kulipwa fidia mwezi ujao

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amesema fidia kwa wakazi wa Mtaa wa Kipunguni wanaotakiwa kuhama kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, zitaanza kulipwa Agosti mwaka huu. Akizungumza leo Julai 8,2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Segerea katika viwanja vya Shule ya Sekondari…

Read More

Michango yamtoa gerezani aliyechoma picha ya Rais

Mbeya.  Siku nne tangu kijana Shadrack Chaula (24), aliyechoma picha ya Rais kuhukumiwa kulipa faini ya Sh5 milioni au kifungo cha miaka miwili, hatimaye michango ya wananchi imefanikiwa kumtoa katika Gereza la Ruanda Mkoa lililoko mkoani Mbeya. Shadrack aliyekamatwa kwa madai ya kuchoma picha ya Rais Samia Suluhu Hassan na kushtakiwa kwa kosa la kutoa…

Read More

VIWANDA VYOTE NCHINI KUFANYA KAZI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Selemani Jafo amesema atahakikisha viwanda vyote vilivyowekezwa Tanzania anavisimamia ili viendelee kuzalisha na kuchangia uchumi na ajira kwa Watanzania. Dkt. Jafo ameyasema hayo Julai 08, 2024 alipotembelea Kiwanda cha Mbolea cha Itracom Fertilize Limited kilichopo Dodoma ikiwa ni baada ya kuingia ofisini kwake. Alisema jitihada za Serikali ya Rais…

Read More

Wadau watahadharisha njaa Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Nchi  za Afrika Mashariki zimetahadharishwa kufanya juhudi za kukabiliana na changamoto ya upungufu wa mvua, unaosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi, ili zisiingie kwenye baa la njaa. Wadau sekta ya nishati safi wamesema kupungua kwa mvua, kunakosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi juhudi za haraka zisipo chukuliwa nchi za Afrika Mashariki zaweza…

Read More

Wataalamu wapendekeza udhibiti bidhaa za mafuta Tanzania

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya nchini Tanzania wamependekeza udhibiti wa uingizwaji wa mafuta na bidhaa zake, kama mbinu ya kuepuka magojwa yasiyo ya kuambukiza kwa wananchi. Mafuta waliyopendekeza yadhibitiwe ni yale yasiyoandaliwa vizuri na yenye hatari kubwa kwa matumizi ya binadamu. Sambamba na hilo, wataalamu hao wamesema kama inawezekana itafutwe namna ya kuongezwa kodi…

Read More

TAA yatangaza fursa kwenye viwanja vya ndege

MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Nchini (TAA) imewataka Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na uwekezaji zilizopo katika viwanja vya ndege nchini ikiwemo maboresho na uendelezaji unaoendelea katika viwanja vya ndege. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Fedha wa TAA, Shadrack Chilongani, aliyemwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa TAA ambapo amesema kuwa wameshiriki Maonesho ya 48 ya Biashara…

Read More

Taa za barabarani zazalishwa nchini Tanzania

Dar es Salaam. Ununuzi wa taa za barabarani kutokana nje ya nchi huenda ukakoma, baada ya wataalamu nchini Tanzania kutengeneza taa za sola na umeme zenye uwezo wa kudumu miaka 100. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Julai 8, 2024 katika Maonyesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba), Salome Lwanteze, mhandisi katika Kiwanda cha…

Read More