TET YAINGIA MAKUBALIANO NA SHIRIKA LA EDUCATE KUTOA MAFUNZO KWA WALIMU WA MASOMO YA BIASHARA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imeingia makubaliano ya Ushirikiano na Shirika lisilo la Kiserikali la ‘Educate’, katika kuimarisha utoaji wa mafunzo endelevu kwa walimu mashuleni hasa katika somo la biashara na kuwawezesha kufundisha somo hilo kwa kutumia mbinu za kisasa na kuwa na maarifa yanayoendana na wakati katika ufundishaji. Akizungumza…

Read More

Safari ya milima, mabonde Padri Louis akitimiza miaka 105

Moshi. Wakati Padri Luois Shayo wa Jimbo Katoliki la Moshi, mwafrika wa kwanza kuwa Paroko wa jimbo akitimiza miaka 105 ya kuzaliwa, amesema kuishi kwake ni siri ambayo Mungu ameificha katika maisha yake. Anasema amevuka milima na mabonde katika safari yake ya utume, lakini bado ana afya njema, jambo analomshukuru Mungu. Padri huyo ambaye pia…

Read More

Rais Macron akataa Waziri Mkuu wake kujiuzulu

Ufaransa. Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron amekataa ombi la Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Gabriel Attal la kujiuzulu kutokana na matokeo mabaya ya chama chao bungeni. Attal amewasilisha ombi lake la kujiuzuru baada ya matokeo ya duru ya pili ya uchaguzi wa wabunge nchini humo ambapo chama chake ambacho pia ni cha Rais Macron kimeshindwa…

Read More

Baada ya miezi tisa ya vita huko Gaza, shule nyingine ya Umoja wa Mataifa inakabiliwa na mashambulizi ya anga ya Israeli – Global Issues

“Siku nyingine. Mwezi mwingine. Shule nyingine imegonga,” sema Philippe Lazzarini, mkuu wa UNRWA, shirika kubwa la misaada huko Gaza, katika chapisho kwenye X, zamani Twitter, baada ya shule huko Nuseirat, katikati mwa Gaza, “kupigwa na Vikosi vya Israeli” siku ya Jumamosi. Ilikuwa nyumbani kwa karibu watu 2,000 waliohamishwa kwa nguvu na uhasama UNRWA Kamishna Jenerali…

Read More

Majaliwa amkalia kooni DED mstaafu

Iringa. Huenda maisha ya ustaafu ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, Lain Kamendu yakaanza kwa msukosuko, baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuagiza arudishwe kujibu tuhuma za ubadhirifu. Kamendu aliyestaafu utumishi wa umma, Juni 22, mwaka huu, anatuhumiwa kufanya ubadhirifu wa fedha za ujenzi wa Bwalo la Shule ya Sekondari ya Wasichana…

Read More

Ubovu wa barabara wakera wananchi, wachangishana kuanza ujenzi

Moshi. Changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara katika eneo la Kiruweni, Kata ya Mwika Kusini, Wilaya ya Moshi, imewalazimu wananchi wa eneo hilo waishio maeneo mbalimbali nchini kuchangishana fedha na kuanza ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 72 kwa kiwango cha changarawe. Eneo hilo ambalo wananchi wake wanajishughulisha na uzalishaji wa ndizi na…

Read More

MCL, ATOGS waandaa kongamano la nishati safi

Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), kwa kushirikiana na Umoja wa Watoa Huduma za Mafuta na Gesi Tanzania (ATOGS), wameandaa kongamano la nishati safi, lijulikanalo kama “Energy Connect 2024”. Kongamano hilo litafanyika Agosti 21, 2024 jijini Dar es Salaam, likiwa na lengo la kuongeza matumizi ya nishati rafiki kwa mazingira. Kongamano hili…

Read More

Akosa faini ya Sh500,000, aenda jela

Dar es Salaam. Raia wa Burundi, Gervas Ndayitwayeko (26), amehukumiwa kulipa faini ya Sh500,000 au katumikia kifungo cha mwaka mmoja jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini Tanzania bila kuwa na kibali. Ndayitwayeko, amehukumiwa adhabu hiyo leo Jumatatu  Julai 8, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya kukiri shtaka lake na…

Read More

UWANJA WA NDEGE WA IRINGA UANZE KAZI AGOSTI MOSI – MAJALIWA

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku 23 kwa Wizara za Ujenzi, Uchukuzi, taasisi zinazosimamia sekta ya anga na uongozi wa mkoa wa Iringa kutatua vikwazo vilivyopo ili uwanja wa ndege wa Iringa uanze kutumika ifikapo Agosti mosi, mwaka huu.    Ametoa agizo hilo leo (Julai 8, 2024) wakati akizungumza na viongozi na wananchi mbalimbali waliokuwepo…

Read More