Baba mbaroni akidaiwa kumnyonga hadi kufa mtoto wa kambo

Dodoma. Stephen Mabula (44), mkazi wa kijiji cha Mheme, Kata ya Huzi, Tarafa ya Mpwayungu wilayani Chamwino anashikiliwa na Polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma za kumnyonga mwanae wa kambo, Godluck Mathias (5). Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Julai 8 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Theopista Mallya amesema tukio hilo limetokea usiku wa…

Read More

ECOWAS yahofia kitisho cha mpasuko – DW – 08.07.2024

Haya yameelezwa kwenye mkutano wa kilele wa jumuiya hiyo ya ECOWAS ulioanza jana Jumapili mjini Abuja, Nigeria.  Rais wa Halmashauri kuu ya ECOWAS Oumar Touray amesema wakati wa ufunguzi wa mkutano huo wa Abuja kwamba ukanda huo unakabiliwa na kitisho cha kugawanyika na kuongezeka kwa mashaka ya kukosekana kwa usalama baada ya mataifa hayo matatu…

Read More

Wazalishaji wa sukari, Serikali wakubaliana mambo sita

Dar es Salaam. Wazalishaji wa sukari nchini (TSP) na Serikali wamekubaliana mambo sita kwa ajili ya kulinda sekta hiyo ikiwemo kupitia upya Sheria ya Sukari ya mwaka 2001. Pia, wametaka kuimarishwa kwa mawasiliano kati yao na Serikali, kulindwa kwa sukari inayozalishwa nchini dhidi ya ile inayotoka nje ya nchi, sukari ya nakisi kuingizwa kwa wakati,…

Read More

Kuabiri Vimbunga, Mafuriko, na Ukosefu wa Haki ya Hali ya Hewa nchini India – Masuala ya Ulimwenguni

Mawimbi ya maji katika Kisiwa cha Namkhana yamefurika nyumba moja huko West Bengal, India. majanga ya asili. Dhoruba, mvua kubwa na mafuriko huleta uharibifu hapa. Credit: Supratim Bhattacharjee / Taswira ya Hali ya Hewa na Aishwarya Bajpai (delhi mpya) Jumatatu, Julai 08, 2024 Inter Press Service NEW DELHI, Julai 08 (IPS) – Vimbunga na mafuriko…

Read More

Mwenye nyumba amsimulia muuguzi wa KCMC aliyetoweka

Moshi. Zikiwa zimepita siku sita tangu muuguzi wa Hospitali ya KCMC, idara ya masikio, pua na koo, Lenga Masunga, kutoweka katika mazingira ya kutatanisha, mwenye nyumba alikokuwa akiishi, Robert Mwakalinga, amesimulia namna alivyoamka asubuhi na kukuta mlango wa chumba alichokuwa amepanga ukiwa wazi. Akizungumza na Mwananchi nyumbani hapo leo Jumatatu Julai 8, 2024, Mwakalinga, mkazi…

Read More

Lugalo yang’ara  shindano la gofu

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Klabu ya Lugalo imeng’ara katika shindano la gofu la  Vodacom Lugalo Open 2024 baada ya mchezaji wa klabu hiyo, Prosper Emmanuel kuibuka mshindi wa jumla wa shindano hilo kwa gross 225. Mshindi wa pili ni Samweli Kileo akishinda kwa gross 226, watatu Isika Daud gross 229 wote wakitokea katika klabu…

Read More