Hofu makaburi yakigeuzwa ‘gheto’ Mbeya

Mbeya. Hofu imezuka maeneo jirani na makaburi ya Sabasaba jijini Mbeya, baada ya watu wasiojulikana kuyageuza sehemu ya kulala huku wakijifunika nguo nyeupe mithili ya sanda. Kwa mujibu wa wakazi wa maeneo hayo, si ajabu kukuta nazi zimevunjwa, vyungu na wakati mwingine watu kuogeshana hadharani katika njiapanda iliyopo karibu na makaburi hayo. Mwananchi kwa takriban…

Read More

Mahakama ya Tanzania kuendesha kesi ndani ya treni ya SGR

Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Mahakama nchini Tanzania, Profesa Elisante Ole Gabriel amesema wamewasilisha mapendekezo kwa Wizara ya Uchukuzi, ili wapatiwe behewa moja katika treni ya kisasa ya SGR kwa ajili ya kuendeshea na kutoa huduma za kimahakama ili kuwafikia wananchi na kurahisisha utoaji wa haki nchini. Profesa Gabriel amesema hayo, leo Jumatatu Julai…

Read More

BALOZI WA DENMARK AMALIZA MUDA WAKE AMUAGA DKT. NCHEMBA

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameishauri Denmark kuongeza masuala ya ushirikiano katika sekta za nishati, maendeleo ya sekta ya fedha na kukuza uwekezaji katika mpango wao mpya wa ushirikiano wa kimataifa unaoandaliwa na nchi hiyo. Dkt. Nchemba ametoa rai hiyo wakati akimuaga Balozi wa Denmark…

Read More

Wanariadha waiangukia Serikali maandalizi duni, vifaa

KUKOSEKANA kwa maandalizi mazuri ikiwemo kambi na vifaa bora vya mazoezi kumewaibua baadhi ya wanariadha wa Tanzania ambao wameishauri Serikali kuingilia kati na kuhakikisha changamoto hizo zinafanyiwa kazi. Baadhi ya wanariadha hao wakizungumza baada ya kushiriki mbio za Lake Victoria Marathon zilizofanyika juzi jijini Mwanza, wamesema Tanzania ina wanariadha wengi lakini wanakosa maandalizi mazuri ikiwamo…

Read More

CCM: Wahudumu wa afya kuweni na lugha nzuri kwa wagonjwa

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewataka watoa huduma za afya nchini kutimiza majukumu yao, ikiwamo kuwa na lugha nzuri kwa wananchi wanaokwenda kupata matibabu katika hospitali, zahanati au vituo vya afya. Kimesema hakitakuwa na maana kuwepo na majengo mazuri ya hospitali au vifaa tiba vya kisasa, huku mapokezi na huduma kwa wagonjwa hazirishishwi….

Read More

VIJANA WATAKIWA KUPELEKA MALALAMIKO YA HUDUMA ZA FEDHA MAMLAKA HUSIKA

 Na Farida Ramadhani, WF – IKUNGI, SINGIDA. Vijana wametakiwa kuwasilisha malalamiko yao kuhusu huduma za fedha katika mamlaka husika ili kupata suluhu haraka pamoja na kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoikabili Sekta ya Fedha ikiwemo utapeli, udanganyifu na mikopo yenye riba kubwa (mikopo umiza/ kausha damu). Mamlaka wanazotakiwa kuwasilisha malalamiko hayo ni Benki Kuu ya Tanzania,…

Read More

Kibwana bado yupo yupo sana

UONGOZI wa klabu ya Yanga, umemuongeza mkataba wa miaka miwili beki wao wa kulia, Kibwana Shomari kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Kibwana ambaye ameitumikia Yanga kwa miaka mitatu tangu ametua akitokea Mtibwa Sugar, ataendelea kubaki zaidi ndani ya timu hiyo ya Jangwani kwa miaka mingine miwili. Beki huyo ambaye ametwaa mataji mawili ya Ligi Kuu Bara…

Read More