Mchezo wa soka watumika kuhamasisha vijana kujitokeza na kushiriki kwenye uchaguzi

Ili kufikia malengo ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Mwezi October mwaka huu 2024,wadau wa michezo mkoani Njombe wameanza kutumia michezo ikiwemo mpira wa miguu kuhamasisha wananchi hususani vijana kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na kushiriki uchaguzi. Mpete Diwani Cup ni moja ya ligi iliyozinduliwa mkoani Njombe ambapo mashindano haya yanasimamiwa na…

Read More

Chalamila alivyomaliza mgomo uliodumu kwa saa tano Simu2000

Dar es Salaam. Katika hali isiyotabirika, mgomo na maandamano ya wafanyabiashara wadogo maarufu wamachinga ulizuka kwa takriban saa tano katika Soko la Simu2000 jijini hapa. Mzizi wa mgomo huo, ni kuishinikiza Manispaa ya Ubungo ifute uamuzi wake wa kukabidhi eneo linalotumiwa na wamachinga kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) kwa ajili ya kujenga karakana….

Read More

Yanga uso kwa uso na Nabi Sauzi

YANGA SC itacheza dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini inayonolewa na kocha Nasreddine Nabi Julai 28 mwaka huu. Mchezo huo umepangwa kufanyika kwenye Uwanja wa Toyota uliopo Bloemfontein nchini Afrika Kusini ukiwa ni wa michuano ya kirafiki ya Kombe la Toyota. Taarifa ya Kaizer imethibitisha uwapo wa mechi hiyo ikieleza: “Kaizer Chiefs watakuwa wenyeji…

Read More

Uzinduzi wa wiki ya wazazi kitaifa Katavi

Makamu wa Pili wa Rais, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdullah amemwakilisha Rais wa SMZ, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi katika uzinduzi wa Wiki ya Wazazi Kitaifa leo Julai 8, 2024 katika viwanja vya Shule ya msingi Inyonga, Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi. Uzinduzi huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka Tanzania Bara…

Read More

Rwanda wanashirikiana na waasi M23 dhidi ya DRC

Ripoti ya wataalam wa Umoja wa Mataifa imesema karibia wanajeshi wa Rwanda karibu 3,000 hadi 4,000 wanapigana pamoja na waasi wa M23 nchini DRC. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Kwa mujibu wa ripoti hiyo ambayo imeonekana na shirika la habari la AFP, Kigali inaongoza harakati za waasi hao wa M23. Mkoa wa Kivu Kaskazini nchini…

Read More

Lawi aikana Simba “Mimi ni mchezaji wa Coastal”

WAKATI Simba ikitarajiwa kupaa jioni ya leo kuelekea Misri kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na msimu mpya wa 2024-2025, beki Lameck Lawi yupo zake Dar es Salaam na kikosi cha Coastal Union akijifua tayari kwa michuano ya Kagame huku mwenyewe akisema yeye ni mchezaji wa Coastal Union. Lawi ambaye alikuwa wa kwanza kutambulishwa ndani…

Read More