ACT-Wazalendo yapinga agizo la Rais Samia kwa wamachinga

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kuondoa vikwazo na kusitisha mara moja mipango na operesheni za kuwaondoa wamachinga eneo la Kariakoo, jijini Dar es Salaam na maeneo mengine mijini. Chama hicho kimetoa kauli hiyo kwa maelezo kuwa kina wasiwasi kutokana na madai ya wafanyabishara wa Kariakoo katika mgomo wa hivi karibuni kuwataja…

Read More

Beki Yanga asaini mmoja Simba

BEKI wa kushoto wa Yanga Princess, Wincate Kaari amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Simba Queens kwa msimu ujao. Kaari anakuwa mchezaji wa tatu kutoka Yanga Princess kujiunga na watani zao, Simba Queens, katika dirisha hili la usajili baada ya awali Precious Christopher na Saiki Atinuke kupewa kandarasi ya kuitumikia timu hiyo. Habari za ndani…

Read More

Kampuni ya teknolonia kutoka nchini China Sixunited yazindua bidhaa yake mpya nchini

Tanzania imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji hivyo leo kampuni ya teknolonia kutoka nchini China Sixunited Techolojia Company inayojihusisha na uzalishaji vifaa vya teknolojia imeonesha nia ya kuwekeza na kuzindua biadhaa yake mpya kwa mara ya kwanza Hayo yamebainishwa leo Jijini Dar es salaam,2024 na Meneja wa Masoko Ukanda wa Afrika Mashariki Sixunited kampuni inayojihusisha…

Read More

RITA yazifilisi rasmi Sasatel, kampuni ya Hydrox

WAKALA wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imetangaza kuzifilisi Kampuni za DOVETEL (T)LIMITED maarufu kama Sasatel na Kampuni Hydrox Industrial Serivices Limited baada ya kujiridhisha kuwa kampuni hizo mbili zimeshindwa kujiendesha na kulipa madeni waliyonayo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam jana Jumapili kutoa…

Read More

TARURA YAKAMILISHA UJENZI WA DARAJA LA BEREGA

#Huduma za shule na hospitali zafikika kiurahisi Na. Erick Mwanakulya, Berega, Kilosa. Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), imekamilisha ujenzi wa daraja la Berega lililopo katika barabara ya Berega – Dumbalume lenye urefu wa mita 140 na upana mita 11 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro. Kukamilika kwa daraja hilo limeweza…

Read More

Wafabiashara Simu 2000 wagoma, wamtimua DC, RC awapoza

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaomba wafanyabiashara wa eneo la Soko la Simu 2000 kufungua maduka na vibanda vyao vya biashara ili kuruhusu mazungumzo kati yake na wafanyabiashara hao aliyopanga yafanyike Jumamosi tarehe 13 Julai mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Chalamila ametoa kauli hiyo leo Jumatatu alipofika katika eneo…

Read More