Judi:Wasichana jifunzeni Unyoaji Nywele za Kiume

 Mwalimu wa Urembo Chuo VETA Shinyanga  Judi Mwita akionesha umahiri wa kunyoa kwenye Banda la VETA. *Kusema kazi za wanaume ni ndio kufanya kuwepo kwa mfumo dume. Na Mwandishi Wetu   MWALIMU wa Urembo wa Chuo cha VETA Shinyanga Judi Mwita  amesema kuwa wasichana wajifunze masuala ya Urembo ikiwemo unyoaji nywele za kiume kutokana na kuwepo…

Read More

Lawi aikana Simba “Mimi ni mchezaji wa Costal”

WAKATI Simba ikitarajiwa kupaa jioni ya leo kuelekea Misri kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na msimu mpya wa 2024-2025, beki Lameck Lawi yupo zake Dar es Salaam na kikosi cha Coastal Union akijifua tayari kwa michuano ya Kagame huku mwenyewe akisema yeye ni mchezaji wa Coastal Union. Lawi ambaye alikuwa wa kwanza kutambulishwa ndani…

Read More

Golikipa Khomeiny Aboubakar ajiunga na Yanga SC

Golikipa Khomeiny Aboubakar (25) amejiunga rasmi na Yanga SC akitokea Ihefu SC, sasa anakuja kuwania namba dhidi ya Djigui Diarra na Aboutwalib Mshery. Khomeiny ambaye amewahi kucheza timu za Tanzania za vijana za U-20 na U-23, anakuwa mchezaji wa nne kutambulishwa na Yanga katika kipindi hiki cha usajili baada ya Clatous Chama, Prince Dube na…

Read More

Jemedari CEO mpya JKT Tanzania

JKT Tanzania imemuajiri Jemadari Said Kazumari kuwa mtendaji mkuu na imeelezwa ndiye anayesimamia usajili unaofanywa kwa ajili ya msimu ujao, huku mojawapo wa usajili aliofanya ni kumshawishi John Bocco kujiunga na timu hiyo. Mwanaspoti imepata taarifa za ndani kwamba umebaki utambulisho wa Kazumari, lakini tayari ameishaanza kuyafanya baadhi ya majukumu yake kujua timu itaweka wapi…

Read More

JAFO:KAMILISHENI JENGO LA VIWANDA NA BIASHARA KWA WAKATI

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,akikagua ujenzi wa jengo la Wizara hiyo katika Mji wa Serikali Mtumba jijini DodomaNa.Mwandishi Wetu_DODOMA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo amekagua ujenzi wa jengo la Wizara hiyo katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma na kuwataka wakandarasi kuhakikisha unakamilika kwa wakati. Akizungumza Julai 8, 2024…

Read More

Wafanyabiashara Simu2000 wamfukuza DC Ubungo

Dar es Salaam. Katika mgomo wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga eneo la Soko la Simu2000, Ubungo jijini Dar es Salaam, wamedai wamekosa imani na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko katika kushughulikia changamoto zao. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kile walichoeleza kuwa licha ya kumlalamikia mara kadhaa kuhusu changamoto zao, ameishia kuwaahidi kwenda…

Read More