Udom wanadi shahada ya sanaa na ubunifu Sabasaba

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kimewahamasisha vijana kusoma fani ya sanaa na ubunifu ambayo inafundishwa katika ngazi ya shahada chuoni hapo. Chuo hicho kinatumia Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) kunadi shughuli inazozifanya, masomo yanayofundishwa na kuonyesha kazi mbalimbali zinazofanywa na wanafunzi hasa katika Idara ya Sanaa na…

Read More

Sababu wamachinga Simu2000 kumfukuza DC Ubungo

Dar es Salaam. Miongoni mwa wamachinga wakieleza sababu ya kumkataa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko na kufanya mgomo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila. Miongoni mwa sababu hizo ni kile walichodai hawana imani naye katika kushughulikia changamoto zao. Mzizi wa maandamano na mgomo wa wafanyabiashara katika soko hilo…

Read More

HAKIKISHENI MNAMALIZA MRADI KWA WAKATI ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA- CPA MAKALLA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha mapinduzi (CCM) komredi Amos Makalla, amewataka watumishi wanaopewa nafasi ya kusimamia miradi kuhakikisha wanamaliza kwa wakati uliyopangwa kwani wananchi wanasubiri huduma hizo. Amesema hayo leo akiwa kwenye Ukaguzi wa mradi wa Maji Bangulo Ilala Mradi Wenye thamani shilingi Bilioni 39 na ujazo wa Lita Milioni…

Read More

Watu 883 wachunguzwa moyo Sabasaba, 61 wapewa rufaa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wananchi 883 kutoka maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam na mikoa jirani wamefanyiwa uchunguzi wa awali wa magonjwa ya moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa maarufu Sabasaba. Kati yao 196 wamefanyiwa kipimo kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (ECHO), 212…

Read More

Analyst; Client Origination Job Vacancies at NMB Bank PLC – 2 Positions – MWANAHARAKATI MZALENDO

NMB Bank PLC NMB Bank Plc., is a commercial bank in Tanzania, the second-largest economy in the East African Community. It is licensed by the Bank of Tanzania Analyst; Client Origination Job Vacancies at NMB Bank PLC (2 Positions ) Analyst; Client Origination (2 Position(s))Job Location :Head OfficeJob Purpose:To evaluate counter-party credit risks associated with Wholesale Banking…

Read More

Wenye migogoro ya bima waitwa Sabasaba kusuluhishwa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Msuluhishi wa Migogoro ya Bima, Margaret Mngumi amewataka wananchi wenye changamoto za madai ya bima kutembelea Kijiji cha Bima kilichopo katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) waweze kutatuliwa. Akizungumza Julai 7,2024 na Waandishi wa habari, amesema ofisi hiyo inalenga kutatua migogoro ya bima kwa njia mbadala yaani…

Read More

Serikali yatangaza ajira mpya 9,483 kada ya afya

Dar es Salaam. Siku mbili baada ya Gazeti  la Mwananchi kuripoti uwepo wa madaktari 3,000, wauguzi 25,000 nchini kukosa ajira, Serikali imetangaza nafasi 9,483 mpya za ajira katika sekta hiyo. Tangazo hilo la nafasi za ajira limetolewa jana Jumapili Julai 7, 2024 na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya…

Read More

JIWE LA SIKU: Simba na Fei Toto, kama Yanga na Chama

BAADA ya mawindo ya muda mrefu, Yanga imefanikiwa kupata saini ya kiungo Mzambia Clatous Chama kutoka Simba na tayari imemtambulisha. Ilikuwa ndoto ya Wanajangwani kumpata staa huyo na sasa imetimia huku kibano kikigeukia kwa Simba na nyota wa Azam, Feisal Salum maarufu Fei Toto. Kabla ya kutua Yanga, Chama aliumiza sana vichwa vya viongozi wa…

Read More