Sintofahamu wamachinga Simu2000 kufunga biashara, barabara
Dar es Salaam. Wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga katika Soko la Simu2000, jijini Dar eS Salaam wameanza mgomo asubuhi ya leo Jumatatu Julai 8, 2024 kwa kufunga barabara, huku wakiimba nyimbo za kudai haki yao. Wamachinga hao wanadaiwa kulalamikia mpango wa sehemu ya eneo wanalofanyia kazi zao kukabidhiwa kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart)….