Azam FC haina papara, mambo kimyakimya

AZAM inafanya mambo kimyakimya kwani tayari ilishatangulia kambini jijini Dar es Salaam kujiandaa na msimu mpya kabla ya kesho kwenda Zanzibar kuendeleza kambi hiyo na baadae kupaa hadi Morocco na ikirudi nchini itakuwa na kazi ya kusaka mataji katika michuano ya  msimu wa 2024-2025. Awali Azam ilikuwa iondoke Dar es Salaam leo, lakini ikasogeza mbele…

Read More

Mastaa Simba SC waahidi mazito, Mo avunja makundi

TULIENI. Ndivyo mastaa wa Simba walivyotoa ahadi mbele ya kikao kizito kilichoitishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Rais wa Heshima wa Simba, Mohammed ‘Mo’ Dewji’ kabla ya jioni ya leo kusepa kwenda kambini mji wa Ismailia, Misri kujiandaa na msimu mpya wa mashindano. Simba inaondoka kwenda Misri kuanza safari mpya ya kimageuzi chini…

Read More

Tume ya Ushindani (FCC), imeendelea kutumia fursa ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) kwa kutoa elimu kwa Umma

    Tume ya Ushindani (FCC), imeendelea kutumia fursa ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) kwa kutoa elimu kwa Umma ambao ndio walaji au watumiaji wa bidhaa na huduma.  Wananchi mbalimbali wameendelea kujitokeza na kutembelea banda la FCC ambapo wamenufaika kwa kupata elimu zaidi inayohusu masuala ya Ushindani, Udhibiti wa Bidhaa Bandia…

Read More

Halotel Tanzania kugawa zawadi Kemkem Maonyesho ya SabaSaba

Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital Halotel Tanzania inayo furaha kubwa kutangaza kuwa itaweka kumbukumbu mpya kwenye Maonyesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SabaSaba) mwaka huu kwa kugawa zawadi kemkem kwa wateja wake. Tukio hili limeanza rasmi Julai 28, ambapo wateja wote waliotembelea banda la Halotel walipata nafasi ya kushinda zawadi…

Read More

RAIS MSTAAFU DKT. KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA TIRDO SABASABA

Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimsikiliza Afisa Masoko wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO), Burhan Mdoe ambaye alikuwa akitoa maelezo kuhusu TIRDO mara baada kutembelea banda la TIRDO katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, barabara ya…

Read More

WANAWAKE GOMBEENI SERIKALI ZA MITAA – REGINA NDEGE

Na Mwandishi wetu, Kiteto WANAWAKE Mkoani Manyara wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa. Mbunge wa viti maalum mkoa wa Manyara, (CCM) Regina Ndege ametoa wito huo kata ya Kibaya wilayani Kiteto, wakati akizungumza kwenye kikao cha baraza la umoja wa wanawake (UWT) wa wilaya hiyo. Ndege amesema…

Read More