WANANCHI MBALIMBALI WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA FEDHA – SABASABA 2024
Afisa Masoko na Mawasiliano Mwandamizi kutoka Mfuko wa Dhamana na Uwekezaji, Bw. Rahim Mwanga (Kushoto), akitoa elimu kuhusu huduma na fursa zinazopatikana katika mfuko huo kwa mwananchi alietembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere, Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es…