Vifo, kutoweka watumishi sekta ya afya vyaibua hofu

Arusha/Moshi. Nini kimewapata? Ndilo swali linaloumiza vichwa vya wengi baada ya mwili wa muuguzi katika Hospitali ya Wilaya ya Meru kuokotwa Mto Nduruma, huku muuguzi mwingine wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC akitoweka. Itakumbukwa mwishoni mwa wiki, mwili wa aliyekuwa mfamasia katika Kituo cha Afya Isansa wilayani Mbozi, Daudi Kwibuja, ulikutwa kando mwa barabara ya…

Read More

Songea United ni Josiah au Mwalwisi!

MAKOCHA Maka Mwalwisi na Aman Josia ni majina pendekezwa katika kikosi cha Songea United (zamani FGA Talents) kwa ajili ya kuiongoza timu hiyo ya Championship msimu ujao. Hii ni baada ya dili la Mbwana Makata kuingiwa ‘mchanga’ kufuatia kusaini Tanzania Prisons na sasa mabosi wa timu hiyo yenye makazi yake mjini Songea kuumiza kichwa kumpata…

Read More

Wingi wa madaktari wasio na ajira rasmi washtua

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na changamoto za uhaba wa wataalamu wa afya katika vituo vya kutolea huduma nchini, takwimu zinazoonyesha idadi kubwa ya madaktari wako mtaani zimewashtua wadau. Uhaba huo umekuwa ukisababisha adha kwa wagonjwa, kuwalazimu kusota kwa muda kwenye vituo vya kutolea huduma na wengine wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na kadhia hiyo. Hali…

Read More

Caravans T20… Lions, Gymkhana si mchezo HUKo

LIGI ya Kriketi ya mizunguko 20 ya Caravans T20 iliendelea kuwasha moto kwenye viwanja mbalimbali jijini huku timu za Park Mobile Lions na Generics Gymkhana zikipata matokeo mazuri katika michezo yao ya mwishoni mwa juma. Viwanja vya Leaders Club na Dar Gymkhana ndivyo vilikuwa mashuhuda wetu wa  michezo hii ambapo ushindi wa mikimbio 81 vijana…

Read More

Chanongo, Mwamita watua Prisons | Mwanaspoti

WAKATI Tanzania Prisons ikianza kambi yake jijini Dar es Salaam kujiandaa na Ligi Kuu msimu ujao, benchi la ufundi na uongozi wa timu hiyo umeonesha matumaini makubwa kwa usajili walioufanya. Msimu uliopita Prisons haikuwa na mwanzo mzuri wa ligi chini ya aliyekuwa kocha wake, Fredi Felix ‘Minziro’ kabla ya kumtema na kumpa kazi, Ahamd Ally aliyeonesha…

Read More

Katibu tawala aonya uchafu Moro wakisaka ridhaa ya kuwa jiji

Morogoro. Wakati Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima akiendelea na harakati za kuhakikisha Manispaa ya Morogoro inakuwa jiji, Katibu Tawala wa mkoa huo, Mussa Ally Musa amesema ili jitihada hizo zifanikiwe lazima usafi ufanyike tofauti na hali ilivyo sasa. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumapili Julai 7, 2024, Katibu tawala huyo amesema wakazi wa…

Read More

Gofu imenoga, Nape aita wadhamini zaidi

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaita wadhamini mbalimbali kudhamini mashindano kwenye mchezo wa gofu ambao umeanza kukua kwa kasi nchini. Nape ameyasema hayo jana katika mashindano ya Lugalo Open Golf Tour yaliyofanyika kwenye viwanja vya Lugalo, jijini Dar es Salaam. Waziri huyo alisema kwa sasa mchezo wa gofu umeanza kujipatia…

Read More