GGML kukusanya Sh2.6 bilioni mapambano dhidi ya VVU

Chato. Licha ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kuonekana kupungua kwa watu wazima, juhudi za makusudi za kutoa elimu kwa vijana wenye wa miaka kati ya 15-24 zinahitajika ili kuiwezesha nchi kufikia malengo yake ya sifuri tatu yaani maambukizi mapya sifuri, kumaliza unyanyapaa sifuri na vifo sifuri  ifikapo mwaka 2030. Na katika kuunga mkono…

Read More

Vijana kuchangamkieni fursa za uhasibu

 BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imewahimiza vijana wa kitanzania nchini kuchangamkia fursa za Uhasibu na Ukaguzi kutokana na kuwa na mchango mkubwa katika maendeleo endelevu ya Taasisi, makampuni ili kuleta tija kwenye ukuaji wa uchumi na ujenzi wa Taifa. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu…

Read More

Mwabukusi kupinga kortini kuenguliwa uchaguzi TLS

Dar es Salaam. Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kumuengua Boniface Mwabukusi katika kinyang’anyiro cha kuwania urais wa chama hicho, wakili huyo ametangaza kusudio la kwenda mahakamani. Sambamba na hatua hiyo, amewataka wanachama wengine wa TLS kutoshiriki uchaguzi huo, ili kuishinikiza Kamati ya Uchaguzi iwarejeshe wagombea wote iliowaengua. Hata hivyo, Katibu wa Kamati ya…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Straika Mzambia anukia Coastal

KATIKA kuhakikisha inarejea kwa kishindo katika michuano ya CAF, Coastal Union, imeanza mazungumzo na Kabwe Warriors ya Zambia ili kupata saini ya nyota mshambuliaji, Godfrey Binga. Coastal inayoshiriki michuano ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa sambamba na Simba zikiiwakilisha Tanzania msimu ujao, inataka kuimarisha kikosi hicho na chaguo la kwanza ni la nyota…

Read More

‘Mgogoro’ waibuka machinga Simu2000, mgomo wanukia

Dar es Salaam. Hofu imezuka kwa wafanyabiashara wadogo maarufu Machinga katika Soko la Simu2000, jijini hapa, baada ya kuwepo mpango wa sehemu ya eneo hilo kukabidhiwa kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart). Kwa mujibu wa wafanyabiashara hao, Dart inapewa eneo hilo kwa ajili ya kujenga Karakana ya mabasi yake, mbadala wa ile iliyopo Jangwani…

Read More

Prisons Queens hadi mwakani | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Prisons Queens, Laurent Malambi amesema licha ya kutofikia malengo ya kupanda daraja, lakini wanajivunia ushindani walioonesha kwenye ligi ya mabingwa wa Mikoa kwa soka la Wanawake akiahidi msimu ujao. Prisons Queens ilishiriki ligi hiyo iliyofanyika jijini Dodoma ikiwa msimu wao wa kwanza, ambapo walimaliza nafasi ya tatu, huku Maendeleo Queens (Songwe) na…

Read More