DC MTWARA ATEMBELEA VISIMA VYA GESI NTORYA 1 NA 2, KATA YA NANGURUWE
Meneja Mradi wa gesi asilia-Ntorya Patrick Kabwe akifafanua jambo kwa Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mwanahamisi Munkunda alipotembelea kisima cha gesi -Ntorya 1 *** Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Mwanahamisi Munkunda amefanya ziara ya kutembelea visima vya gesi asilia (Ntorya-1 na kisima cha Ntorya 2) katika kata ya Nanguruwe ili kujionea maendeleo ya…