Valentin Nouma atambulishwa rasmi Simba SC

KLABU ya Simba imemtambulisha beki wa kushoto mpya raia wa Burkina Faso, Valentin Nouma akitokea timu ya St. Eloi Lupopo ya DR Congo kwa mkataba wa miaka mitatu. Nouma mwenye umri wa miaka 24 anakwenda kuiongezea Simba nguvu upande wa kushoto akisaidiana na Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ ambapo msimu uliopita alikuwa pekee katika nafasi hiyo, japo…

Read More

Kiwanda Cha sukari Mkulazi chaanza rasmi uzalishaji sukari

Kiwanda Cha Sukari Mkulazi kilichopo wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro kimeanza rasmi uzalishaji wa sukari julai Mosi mwaka huu baada ya mwaka Jana kuwa katika majaribio. Akizungunza wakati wa ziara ya Kamati ya Usalama Wilaya ya Kilosa iliyoongozwa na mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye ndio Mkuu wa Wilaya Mhe. Shaka Hamdu Shaka ,Meneja wa Kiwanda…

Read More

DMI KUSAJILI WANAFUNZI BURE PASIPO MALIPO

Chuo Cha Bahari Dar ES Salaam (DMI) kinaendelea na huduma ya usajili wa wanafunzi katika viwanja vya Sabasaba Dar es Salaam bila malipo. DMI ni moja ya taasisi zilizopo katika maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam. Timu ya wataalam kutoka chuo Cha Bahari Dar es…

Read More

Moto wateketeza vyumba 11 vya wapangaji Ngarenairobi Siha

Siha. Nyumba yenye vyumba 11 vya wapangaji katika Kijiji cha Ngarenairobi, Wilaya ya Siha, mkoani Kilimanjaro iliyojengwa kwa mbao, imeteketea kwa moto na kusababisha hasara. Tukio hilo lilitokea Jana Jumamosi Julai 6, 2024 usiku, chanzo kinadaiwa ni jiko la gesi lililolipuka kwenye moja ya vyumba vya wapangaji. Mtendaji wa Kijiji hicho, Seif Mwemgamba, akizungumza na…

Read More

DC Mtwara atembelea Visima vya Gesi Asilia Nanguruwe

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mkuu wa Wilaya ya Mtwara,  Mwanahamisi Munkunda, amefanya ziara ya kutembelea visima vya gesi asilia katika kata ya Nanguruwe ambapo alitembelea kisima cha Ntorya-1 na Ntorya-2 ili kujionea maendeleo ya visima hivyo. Meneja Mradi, Patrick Kabwe, alieleza kuwa licha ya maendeleo yaliyofanyika katika visima hivyo viwili, TPDC na kampuni ya…

Read More