Waziri Makamba awaasa Marekani kuliishi Azimio la Uhuru

Katika kusherehekea maadhimisho ya miaka 248 ya Uhuru wa Marekani, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.), ameishukuru na kuipongeza Marekani kwa mchango wake katika maendeleo ya Tanzania huku akiwasihi kukumbuka na kuenzi yale waliyoazimia Julai 4, 1776. Waziri Makamba amezungumza hayo akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika…

Read More

Makalla aanza ziara Dar, kinachomsubiri hiki hapa

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla leo Jumapili Julai 7, 2024 ameanza ziara ya kukagua uhai wa chama hicho katika wilaya tano za Mkoa wa Dar es Salaam, akianzia Ilala ambako huenda akakumbana na kilio cha miundombinu ya barabara. Katika ziara hiyo ya siku sita,…

Read More

Picha| Tikiti la kampuni ya East West Seed

Balozi wa Kampuni ya East West Seed yenye Makao Makuu yako mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, Msanii Mrisho Mpoto, akionyesha Tikiti Maji lililozalishwa na kampuni hiyo Dar es Salaam Leo Julai 7,2024 Kiwakati wa Maonyesho ya 48 ya Biashara maarufu Sabasaba yenye kauli mbiu ya Tanzania Mahali sahihi pa Biashara na Uwekezaji. Kulia ni Afisa Kilimo…

Read More

BoT yawatangazia kiama wanaotoza asilimia 10 ya mikopo

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imezitaka taasisi ndogo za fedha nchini kutoza riba ya asilimia 3.5 kwa mwezi kwa mikopo na watakaokiuka kuchukuliwa hatua ikiwemo kufutiwa leseni. Maagizo hayo yamekuja baada ya kuwepo kwa matukio mengi ya taasisi hizo kutoza viwango vya hadi asilimia 10 kwa mwezi kwa kila mkopo jambo ambalo…

Read More

BANDA LA TPA SASA LAENDELEA KUWA KIVUTIO KWA WANANCHI

Banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) limeendelea kuwa kivutio kwa Wananchi mbalimbali wanaotembelea Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika Viwanja vya Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Wananchi wengi wanaotembelea Banda hili wamefurahishwa na huduma zinazotolewa hasa elimu ya kuhusu huduma za Kibandari na…

Read More