PBZ yakabidhi gawio la bilioni 7 kwa SMZ

BENKI ya Watu wa Zanzibar (PBZ) imekabidhi gawio la Sh bilioni saba  kwa mwanahisa wake wa pekee Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kufuatia faida iliyopata katika kipindi cha mwaka 2023. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inamiliki asilimia 100 ya hisa za benki hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Mkurugenzi Mwendeshaji wa PBZ, Arafat Haji alikabidhi gawio…

Read More

Kukosa kazi kulivyomkosesha mke James Lembeli Ujerumani

Akiwa mfanyakazi wa Redio Berlin Internation nchini Ujerumani, James Lembeli alikutana na binti wa Kijerumani, Birgit Lifka, wawili hawa wakaanzisha urafiki uliowapeleka kwenye uhusiano wa kimapenzi. Kwa Lembeli uhusiano huo haukuwa wa kupoteza muda, aliamini kuwa mwanamke huyo ndiye atakayekuja kuwa mke wake na mama wa watoto wake kwa kuwa alishamridhia kwa shida na raha….

Read More

Janga la maadili pasua kichwa kwenye jamii

Dar es Salaam. “Maisha ya zamani yalijawa hekima ambayo mtoto alikuwa si wa kwako peke yako, bali wa jamii nzima, alifundishwa maaadili ya namna ya kuishi na watu. “Akitokea mzee amebeba mzigo, mtoto anaenda anamsalimia kisha anamuomba kumpokea mzigo alioubeba na kuutanguliza kule anakoelekea mzee huyo. “Sasa hivi hayo yote yamepotea, hata wazee wenyewe hawaukubali…

Read More

APC Hotel kutoa fursa za ajira kwa vijana

WAKATI Maonyesho ya 48 ya Kimataifa ya Kibishashara yakiendelea kushika kasi katika viwanja vya Mwl. Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam Kituo cha Mikutano APC Hotel and Conference Centre kimepongezwa kwa kuendelea kutoa Elimu jinsi ambavyo kituo hicho kimeendelea kutoa huduma kwa Jamii pamoja na kuzalisha ajira mbalimbali kwa vijana Nchini. Hayo yamebainishwa leo Julai…

Read More

Hii hapa kauli ya kwanza ya Sativa tangu atoke hospitali

Dar es Salaam. Edgar Mwakabela maarufu Sativa anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana kisha kumtesa, kwa mara ya kwanza tangu apatikane Juni 27 ameandika katika ukurasa wake wa X (zamani Twitter). Sativa aliyepatikana Katavi akiwa na majeraha baada ya kutoweka jijini Dar es Salaam leo Julai 7, 2024 ameandika; “Asante bwana kwa uzima huu hakika nimeliona…

Read More

Banda la EACOP lawavutia wengi maonesho ya Sabasaba

Wananchi na wadau mbalimbali wamejitokeza kwa wingi kutembelea  Banda la Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) kwenye Maonesho yanayoendelea ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maraarufu  ‘Sabasaba’ yanayofanyika viwanja vya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es…

Read More