TIA yajiwekea mpango mkakati wa Kuendeleza vijana wenye Ubunifu
Wanafunzi wakipata maelezo katika Banda la TIA kwenye Maonesho ya 48 Biashara Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. *Ni pamoja na kuwaunganisha katika soko la ajira kwa kurasimisha kibiashara Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imesema kuwa katika vijana wanaosoma katika Taasisi hiyo wakawa na ubunifu watasimamiwa…