Kifo cha mfamasia chaibua mapya

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe likiendelea na uchunguzi kubaini chanzo kifo cha aliyekuwa mfamasia katika Kituo cha Afya Isansa wilayani Mbozi, Daudi Kwibuja, taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zimeibua mapya zikiwataja baadhi ya vigogo kuhusika. Mwili wa mfamasia huyo ulikutwa kando mwa barabara ya Tunduma – Mbeya, eneo la…

Read More

Brahma: Kuku kivutio maonyesho ya Sabasaba

Dar es Salaam. Tanzania inakadiriwa kuwa na kuku milioni 97.9, kati ya hao wa asili (kienyeji) ni milioni 45.1 na wa kisasa ni milioni 52.8. Kutokana na kuku kuwa miongoni mwa chanzo cha mapato kwa jamii, wafugaji wamekuwa wakiachana na ufugaji wa asili na kufanya wa kisasa. Katika kutekeleza hilo, jitihada zimekuwa zikifanyika kupata vifaranga bora…

Read More

Dk Jafo mguu wa kwanza Kariakoo

Dar es Salaam. Siku moja baada ya kuapishwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Suleiman Jafo ameanza kushughulikia changamoto za wafanyabiashara, akianzia eneo la Kariakoo jijini hapa. Hivi karibu wafanyabiashara katika baadhi ya maeneo nchini waligoma kushinikiza Serikali kutatua madai yao ambayo wanaeleza yalitatiza ustawi wa biashara zao. Miongoni mwa hayo ni ukaguzi wa…

Read More