Wanafunzi wenye ulemavu Kawe waomba kukarabatiwa madarasa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wanafunzi wenye ulemavu katika Shule ya Msingi Kawe iliyopo Manispaa ya Kinondoni wameomba wadau kujitokeza na kukarabatia madarasa yao ili waweze kujifunza vizuri. Shule hiyo ilikuwa na madarasa matatu ya wanafunzi 52 wenye ulemavu ambao ni wasioona, wenye ulemavu wa viungo, ulemavu wa akili, usonji na viziwi lakini kwa sasa…

Read More

Lema ataja chanzo cha umaskini kwa wakulima

Same. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema kukosekana kwa sera nzuri za kilimo na uchumi nchini kumesababisha wakulima wengi washindwe kufanikiwa kupitia kilimo. Amesema hatua hiyo pia imesababisha kuwepo kwa kundi kubwa la vijana mitaani ambao hawana ajira, licha ya baba na mama zao kuwa na mashamba…

Read More

Kikwete ahimiza kasi utafutaji wa mafuta, gesi asilia nchini

RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuhakikisha kuwa shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi asilia nchini zinatekelezwa kwa kasi ili kuongeza ugunduzi wa rasilimali hiyo muhimu. Mhe. Kikwete ameyasema hayo tarehe 06 Julai 2024 wakati alipotembelea banda…

Read More

Anayedaiwa kukodi watu kuua mke asomewa maelezo

Dar es Salaam. Serikali imemsomea maelezo ya awali ya kesi aliyekuwa Ofisa Usalama wa Taifa, Zaburi Kitalamo (50) anayedaiwa kuwatuma washtakiwa wenzake wawili kumuua mkewe kwa kumchinja. Washtakiwa hao ni mfanyabiashara Roger Salumu (25) na mganga wa jadi Furaha Ngamba (47). Kitalamo au kwa jina lingine Peter Alex Kitalamo, mkazi wa Uzunguni wilayani Urambo mkoani…

Read More

DKT. JAFO AAHIDI USHIRIKIANO KWA WAFANYABIASHARA

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Saidi Jafo (Mb) ameihakikishia sekta binafsi hususani Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Viwanda kuwa watapata ushirikiano mkubwa katika kutatua changamoto mbalimbali za kibiashara ili kuhakikisha wanafanya biashara kwa chini ya uongozi wake. Ameyasema hayo Julai 5, 2024, alipokuwa akizungumza na baadhi ya Taasisi zilizochini ya Wizara yake zinazofanya…

Read More

UNESCO inateua hifadhi mpya 11 za biolojia – Masuala ya Ulimwenguni

Majina hayo mapya yapo Colombia, Jamhuri ya Dominika, Gambia, Italia, Mongolia, Ufilipino, Jamhuri ya Korea na Uhispania. Zaidi ya hayo, na kwa mara ya kwanza, orodha hiyo inajumuisha hifadhi mbili zinazovuka mipaka, zinazoanzia Ubelgiji na Uholanzi, na Italia na Slovenia. Audrey Azoulay, Mkurugenzi Mkuu wa UNESCOsisitiza kwamba majina haya yanakuja wakati ambapo ubinadamu “unapambana na…

Read More

Sabasaba yamkumbusha Kikwete enzi za utawala wake

Dar es Salaam. Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DIFT) yamekuwa ya kipekee kwa kuboreshwa miundombinu, hususani ya barabara tofauti na miaka ya nyuma. Kikwete ameeleza hayo leo Julai 6, 2024 alipotembelea maonyesho hayo maarufu Sabasaba. Katika mazungumzo yake alikuwa akilinganisha hali anayoiona na miaka ya…

Read More

Nyumbani kwa Naibu Waziri Ujenzi walilia barabara

Songwe. Wananchi wa Kijiji cha Bwenda kilichopo katika Kata ya Lubanda mkoani Songwe, wamemlilia mbunge wa jimbo la Ileje (CCM) na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya kuhusu ubovu wa barabara katika jimbo hilo ambayo haipitiki wakati wa masika. Wananchi hao, pia, wamemlalamikia mkandarasi aliyetekeleza mradi wa barabara inayosimamiwa na Wakala wa Barabara Vijijini na…

Read More