Mabadiliko ya tabianchi yaacha kilio kwa wakulima wa zabibu

Dodoma. Uzalishaji wa zabibu nchini unatarajiwa kupungua mwaka huu, kutokana athari za mabadiliko ya tabia nchi zilizosababisha msimu mrefu wa mvua. Akizungumza leo Jumamosi, Julai 6, mwaka 2024 na Mwananchi, Mwenyekiti wa Wakulima wa Zabibu mkoani Dodoma, David Mwaka amesema kuwa mvua mwaka huu ilinyesha hadi Aprili, hivyo joto la Mei halikutosheleza zabibu kuzaa vizuri….

Read More

Simba yashusha mashine nyingine kutoka Congo

KLABU ya Simba imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji Debora Fernandes kwa mkataba wa miaka mitatu. Mchezaji huyo aliyesajiliwa na Wekundu hao wa Msimbazi akitokea Klabu ya Mutondo Stars ya Zambia, anamudu kucheza kiungo mkabaji na  kiungo mshambuliaji yaani namba nane. Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imesemw: Kiungo Debora Fernandes, 24, mwenye uraia pacha wa Congo Brazzaville…

Read More

Kikwete akoshwa na Sabasaba akumbukia utawala wake

Dar es Salaam. Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DIFT) kwa mwaka huu, yamekuwa ya kipekee kwa kuboreshwa miundo mbinu hususani ya barabara tofauti na miaka ya nyuma. Kikwete ameeleza hayo leo Julai 6, 2024 alipotembea DIFT maarufu kama sabasaba na katika…

Read More

Guede huyoo Singida BS, mchongo mzima uko hivi!

MSHAMBULIAJI aliyemaliza na mabao sita katika Ligi Kuu Bara na matatu ya Kombe la FA na moja la Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita akiwa na kikosi cha Yanga, Joseph Guede huenda akaendelea kusalia nchini licha ya kudaiwa kupewa ‘thank you’ Jangwani, baada ya kudaiwa anajiandaa kutua Singida Black Stars. Guede alijiunga na Yanga katika…

Read More

FANYENI MAZOEZI KUEPUKA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

WAZIRI wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde (MB) ameelekeza watumishi wa Wizara na Taasisi zote zilizopo chini ya Wizara yake ikiwemo Tume ya Madini kuhakikisha wanafanya mazoezi ili kupambana na magonjya yasiyo ya kuambukiza ikiwemo kisukari, moyo na shinikizo la damu. Pia, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba kuandaa Bonanza maalum litakalokutanisha…

Read More

Vyuo vyasukumiziwa zigo la utafiti kuboresha bidhaa

Dar es Salaam.  Baadhi ya wataalam wa masuala ya biashara wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukosekana kwa tafiti zinaoshughulikia changamoto nyingi zinazowakabili wafanyabiashara ikiwemo jinsi ya kujiendesha katika teknolojia. “Tuna vyuo vikuu vingi, lakini matokeo mengi ya tafiti zao hayapatikani kwa urahisi kwa wale wanaohitaji ufumbuzi wa changamoto zao za biashara,’’ amesema mtaalamu wa uchumi Dk…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU JENIFA OMOLO ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA FEDHA SABASABA 2024

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, akisikiliza maelekezo  kutoka kwa Afisa Tehama wa Wizara ya Fedha, Bw. Emmanuel Maendaenda, kuhusu namna mfumo wa GePG unavyofanyakazi, wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke,…

Read More