Taharuki makaburi 19 yakibomolewa na wasiofahamika Tabora

Tabora. Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu wasiofahamika wameyavamia na kuyavunja makaburi 19 yaliyopo Mtaa wa Magubiko kata ya Kiloleni Manispaa ya Tabora, huku tabia hiyo ikitajwa kuwa imekuwa ya ikijirudia kwa matukio tofauti yanayofanana na hilo. Alexander Ntonge aliyezika ndugu yake hivi karibuni,  amesema yeye alipigiwa simu kuwa umetokea uharibifu wa kuvunjwa makaburi na…

Read More

Moloko, Namungo kuna jambo linakuja

UNAMKUMBUKA yule winga teleza wa zamani wa Yanga, Jesus Moloko? Unaambiwa jamaa baada ya kumaliza mkataba aliokuwa nao na klabu ya Al Sadaqa SC ya Libya, kwa sasa anajiandaa kurudi tena Bongo. Inadaiwa kuwa winga huyo aliyeachwa msimu uliopita na Yanga anajiandaa kutua Namungo ambayo imekuwa ikiwasiliana na kufanya naye mazungumzo na Moloko. Mchezaji huyo…

Read More

WAZIRI MKUU AZINDUA HOSPITALI YA RUFAA YA TOSAMAGANGA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Askofu wa Jimbo Katoliki  la Iringa , Tarcisius Ngalalekumtwa wakizundua  huduma ya mionzi  (CT SCAN) katika hospitali ya  Rufaa ngazi ya Tosamaganga mkoani Iringa, Julai 6, 2024. Kushoto ni  Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba, wa pili kulia ni Mkurugenzi wa hospital hiyo,  Padri Benjamin  Mfaume na kulia ni…

Read More

RC Mtanda aibuka sakata la Tumsime dhidi ya Dk Nawanda

Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameibuka, baada ya Tumsime Ngemela kumtaja alipozungumzia tuhuma za kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda. Tumsime akizungumza na waandishi wa habari jana Julai 5, 2024 jijini Dar es Salaam, alimtuhumu Mtanda kwamba alimshawishi kufuta malalamiko aliyoyafikisha polisi dhidi ya Dk Nawanda. Mtanda…

Read More

Wasanii wa Tanzania wakutana na star mkubwa sana wa Korean drama, Son Ye-jin.

Balozi wa Tanzania Korea, Mh. Togolani Edriss Mavura ameambatana na wasanii aliowaalika kufanya ziara Korea kusini kwaajili ya kuimarisha mahusiano na kubadilishana ujuzi katika soko la filamu. Wasanii walikutana na Son Ye-jin kubadilishana mawazo na kisha kukaa na watengeneza filamu wakubwa Cheol-ha Lee na Yohwan KIM. Director Cheol-ha Lee amesema yupo katika maandalizi ya filamu…

Read More

Rombo sasa kulima migomba kwa matone

Rombo. Wataalamu zaidi ya 25 kutoka Wizara ya Kilimo wanatarajiwa kupiga kambi katika Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro,  kutoa elimu ya namna bora ya kuzalisha zao la ndizi kwa kutumia umwagiliaji wa matone na kuachana na kilimo cha mazoea,  ili kuzalisha kwa tija na kuuza bidhaa hiyo katika masoko ya kimataifa. Wilaya ya Rombo ni…

Read More

Mtanzania ahukumiwa kunyongwa China, wengine 26 wakamatwa

Dar es Salaam. Mtanzania mmoja amehukumiwa kunyongwa hadi kufa nchini China kutokana na madai ya kujihusisha na dawa za kulevya, huku wengine 26 wakikamatwa kwa kujihusisha na dawa hizo haramu. Kwa mujibu wa taarifa iliyosambaa mitandaoni, Mtanzania huyo ambaye jina lake halijapatikana mara moja, amehukumiwa kunyongwa katika mji wa Guangzhou nchini humo. Taarifa hiyo inaeleza…

Read More