Uhamiaji yapewa nafasi ya Chipukizi CAF
KLABU ya Uhamiaji imepata nafasi ya kuiwakilisha Zanzibar katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao 2024-2025. Hiyo ni baada ya mabingwa wa Kombe la FA Zanzibar, Chipukizi FC kujiondoa katika uwakilishi huo ikidaiwa sababu kubwa ni ukata ilionao. Taarifa iliyotolewa na Klabu ya Uhamiaji, imebainisha kwamba nafasi hiyo wameipata baada ya ZFF kufuata…