Uhamiaji yapewa nafasi ya Chipukizi CAF

KLABU ya Uhamiaji imepata nafasi ya kuiwakilisha Zanzibar katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao 2024-2025. Hiyo ni baada ya mabingwa wa Kombe la FA Zanzibar, Chipukizi FC kujiondoa katika uwakilishi huo ikidaiwa sababu kubwa ni ukata ilionao. Taarifa iliyotolewa na Klabu ya Uhamiaji, imebainisha kwamba nafasi hiyo wameipata baada ya ZFF kufuata…

Read More

Wadau mkoani Mara walia na uwekezaji hafifu

Musoma. Wadau wa maendeleo mkoani Mara wamesema kasi ya uwekezaji mkoani humo bado iko chini,  licha ya mkoa huo kuwa na fursa nyingi za kiuchumi na uwekezaji, hivyo wameitaka Serikali kufanya jitihada zaidi zitakazosababisha kuongezeka zaidi na kuboresha uchumi wa mkoa. Wadau hao wamebainisha hayo Julai 5, 2024 kwenye mdahalo kuhusu uwekezaji ulioandaliwa na Klabu…

Read More

19 zachuana kuwania ubingwa Gymkhana

TIMU 19 za soka zitachuana kuwania ubingwa wa Kombe la TBA katika fainali zitakazofika kilele, Julai 19 katika viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam. Mikikimikiki ilianza Julai Mosi kwenye viwanja hivyo vya Gymkhana, huku lengo kubwa likiwa kuboresha afya kwa timu shiriki ambazo zinamilikiwa na taasisi za mabenki hapa nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa…

Read More

Stars ikijipanga inaenda tena Afcon

TANZANIA imepangwa katika kundi H la mashindano ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 zitakazofanyika Morocco. Mechi hizo za makundi zitaanza kupigwa kati ya Septemba 2 hadi Novemba 19, 2024 kabla ya fainali kupigwa mapema mwakani. Katika kundi hilo ililopangwa Taifa Stars sambamba na timu za taifa za DR Congo, Guinea na…

Read More

Mapya yaibuka barabara iliyokuwa na nguzo katikati

Mwanza. Ni barabara yenye urefu wa kilomita 1.3 iliyoanza kujengwa kwa mawe Novemba, 2023 na kukamilika Aprili, 2024. Barabara ya Mchungwani iliyopo Mtaa wa Kiloleli ‘B’ wilayani Ilemela, jijini Mwanza, hivi karibuni ilikuwa gumzo mitandaoni kutokana na nguzo za umeme kuwa katikati ya barabara hivyo magari kupita kwa tabu. Hilo likipatiwa ufumbuzi na Shirika la…

Read More

Nape awaita wadhamini kwenye gofu

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaita wadhamini mbalimbali kudhamini mashindano ya kwenye mchezo wa gofu ambao umeanza kukua kwa kasi hapa nchini. Nnauye ameyasema hayo kwenye mashindano ya Vodacom Golf Tour yanayoendelea kwenye viwanja vya Lugalo Golf Club jijini Dar es Salaam. Waziri huyo alisema kwa sasa mchezo wa gofu…

Read More

Gharama ya maisha, huduma mbovu za afya kilio kwa Watanzania

Dar es Salaam. Utafiti umeonyesha asilimia 81 ya Watanzania wanahitaji mabadiliko  katika huduma za kijamii, hasa uboreshaji wa huduma za afya. Katika maoni hayo yaliyokusanywa na Tume ya Mipango kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kutoka kwa Watanzania zaidi ya milioni moja,  asilimia 81 ya waliohojiwa walipendekeza uboreshaji wa huduma za afya huku asilimia…

Read More