MTU WA MPIRA: Hivi mapro wa kigeni wamewakosea nini?

NIMEONA sehemu mjadala kuhusu idadi ya wachezaji wa kigeni nchini. Kuna watu bado wanaamini kuwa idadi ya wachezaji 12 wa kigeni katika ligi yetu ni kubwa. Inashangaza sana. Hoja ya hawa wasioamini wanataka idadi ya wachezaji wa kigeni ipunguzwe. Wanadai wingi wa wageni unaziba nafasi za wachezaji wazawa. Inachekesha kidogo. Kuna vitu vinafikirisha kuhusu mjadala…

Read More

Washiriki Nanenane sasa kujisajili kidijitali

Tabora. Serikali imezindua mfumo wa wakulima na wafanyabiashara kujisajili kwa ajili ya kushiriki maonyesho ya kitaifa ya Nanenane ambayo kitaifa mwaka huu yatafanyika jijini Dodoma. Mfumo huo umezinduliwa leo Julai 6, 2024 mkoani Tabora na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Dotto Biteko ikiwa ni maandalizi ya sikukuu ya wakulima nchini itakayoadhimishwa Agosti…

Read More

Zimbabwe yavutiwa na banda ofisi ya Waziri Mkuu, yaahidi kuendeleza ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi anayeshughulikia masuala ya Mikoa na Ugatuzi nchini Zimbawe, Ezra Chadzamira amesema wataendelea kuimarisha ushirikiano katika masuala mbalimbali ikiwemo sekta ya kilimo na uvuvi. Chadzamira ameyasema hayo leo Julai 6,2024 banda ya kutebelea banda jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zilizo chini yake katika Maonesho ya…

Read More

Kampuni changa kuwezeshwa uwekezaji uchumi wa buluu

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inatarajia kupokea Euro 350 million (Sh1 trillion) kutoka Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (EIB) kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU). Lengo la fedha hizo ni kuziinua kampuni ndogondogo zinazotaka kuwekeza katika sekta ya uchumi wa buluu. Baada ya fedha hizo kutolewa zitaleta ahueni kwa kampuni hizo zilizokuwa…

Read More

Tawa yanadi fursa za uwekezaji maonesho ya Sabasaba

Na Beatus Maganja, Dar es Salaam. MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inatumia maonesho ya 48 ya kimataifa ya kibiashara yanayoendelea jijini Dar es Salaam kuhamasisha Watanzania wawekezaji na wageni kutoka mataifa mbalimbali kuwekeza katika maeneo inayoyasimamia. Akizungumza na wageni waliotembelea banda la TAWA lililopo ndani ya banda la Wizara ya Maliasili na Utalii,…

Read More

Sativa aruhusiwa hospitali | Mwananchi

Dar es Salaam. Edger Mwakabela aliyetekwa na watu wasiojulikana na kutupwa kwenye pori la Hifadhi ya Katavi akiwa na majeraha mwilini, ameruhusiwa kutoka hospitali. Ruhusa hiyo ni baada ya kufanyiwa upasuaji wa taya la kushoto Julai 3,2024, lililosagika kwa kudaiwa kupigwa risasi na watekaji ambao walilenga kumpiga risasi ya kichwa. Mwakabela maarufu Sativa kupitia mtandao wa…

Read More

Dk Mwinyi: Hakuna aliye salama amani ikitoweka

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewataka wananchi wasikubali kudanganywa kuvuruga amani, kwani ikitoweka hakuna atakayebaki salama na uchumi wa Taifa utadidimia. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Juni 6, 2024 katika hafla ya kilele cha maadhimisho ya mwaka mpya wa Kiislamu Zanzibar katika msikiti wa Jamiu Zinjibar. Dk Mwinyi amesema amani na utulivu…

Read More